Category : Maswali ya Biblia

Shalom mwana wa Mungu karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa mwokozi wetu Yesu Kristo. Neno la Mungu linaonyesha kuwa Mungu ni nabii ikimaanisha kuwa ni kiongozi anayesimamia na kuliendesha kundi kubwa la watu wenye misimamo na mitazamo tofauti kulingana na lugha, tabia na mwenendo.hata kwa Mungu wetu itoshe kusema kuwa yeye ni nabii kwakuwa ..

Read more

Karibu tujifunze Neno la Mungu, Tunapozungumzia nafsi tunamzungumzia mtu mwenyewe, kwahiyo badala ya kusema “Tambua thamani ya nafsi yako” tunaweza tukasema TAMBUA THAMANI YAKO!. Watu wengi leo wanatoa maisha yao bure kwa mambo yasiyo na maana, wanauza nafsi zao bure kwa mambo ya ulimwengu huu, kwasababu ya tamaa za miili yao, tamaa za fedha, mali ..

Read more

Shalom karibu tujifunze Tusome Mathayo 23:11 “Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. 12 Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa” Maana ya kudhili ni kunyenyekea au kuchuka chini, au kushushwa chini Mathayo 23:11 “Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. 12 Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa” ..

Read more

Je dia ni nini kibiblia Maana ya neno dia, kwa maana nyingine linatafsirika kama “fidia” tusome kifungu hicho hili tuelewe vizuri nini maana halisi ya neno hilo Mithali 13:8 “Dia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lo lote”. Kwahiyo hapo tunaweza kusema “faida ya nafsi ya mtu ni utajiri ..

Read more

Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Turejee maneno ya Bwana kutoka katika kitabu hiki ili tuelewe zaidi neno linasema. 2Wakorintho 7:2 “Tupeni nafasi mioyoni mwenu. Hatukumdhulumu mtu ye yote, wala kumharibu mtu, wala kumkaramkia mtu. 3 Sisemi neno hilo ili niwahukumu ninyi kuwa na hatia; kwa maana nimetangulia ..

Read more

  Shalom mtu wa Mungu.Jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Ayabu 1:6 “Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao. 7 BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, NATOKA KATIKA KUZUNGUKA-ZUNGUKA DUNIANI, NA KATIKA KUTEMBEA HUKU NA ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu muumbaji wa vyote karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Yerusalemu maana yake ni mji wa amani ambapo ndiyo mahali penye msingi wa Imani yetu. Mji huu wa yerusalemu kabla haujapata sifa hii ya amani ulikuwa ukiitwa mji wa wakanaani kipindi ambacho wayahudi walikuwa hawajaimiliki nchi yao ..

Read more