WAFU WATAFUFULIWA Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo, Mfalme wetu, Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hatujaendelea mbele, Naomba usome ushuhuda huu mfupi utakuwa msingi wa somo letu. “Ilikuwa ni tarehe 17/10/2025 majira ya alfajiri, Bwana alinipa huu ujumbe kupitia ndoto. Niliona miili ya watu wengi ikifufufuka kutoka ..
Category : Siku za Mwisho
USIKUBALI KUTUMAINISHWA KWENYE DHAMBI Jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia.. Hatari kubwa iliyopo katika siku hizi za mwisho ni Kunyanyuka kwa jopo kubwa la Manabii wa Uongo ambao kazi yao ni kuwatumainisha watu waendelee kuishi katika dhambi na mwisho wa siku wakose mbingu… Sasa biblia inapotaja uwepo wa manabii wa uongo, haimaanishi tu manabii ..
USISUBIRI MPAKA UVUMILIVU WA MUNGU UKOME JUU YAKO. Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Nakukaribisha tulitafakari Neno la Mungu, ambalo ndio pekee lenye uwezo wa kuokoa roho za watu. Na leo nataka tuitafakari tena juu ya hukumu ya Mungu inayokuja ulimwenguni. Ndugu yangu usidhani ukiachwa sasa kwenye UNYAKUO utakuwa na nafasi ya pili mbele za ..
Tukio hili litatokea hivi karibuni na kuishangaza dunia. Je! Unafahamu tukio kubwa na la kushangaza ambalo lipo mbioni kutokea? Kama hulifahamu, basi kuna hatari kubwa iko mbele yako…kwa maana itakujia ghafla kama vile mtego unasavyo. Siku zote gari ambalo linakimbia kwa spidi kubwa kwenye barabara ya vumbi, huwa kuna vumbi ambayo inaonekana kwa mbali ambayo ..
TENA HABARI NJEMA YA UFALME ITAHUBIRIWA KUWA USHUHUDA KWA MATAIFA YOTE. Mathayo 24:14 “Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja”. Bwana Yesu asifiwe ndugu mpendwa.. Ukitaka kujua kuwa mambo yote sasa yameshakamilika, kinachongojewa ni UNYAKUO tu, angalia hali ya mwitikio wa Injili sasa ..
HEKALU LA BWANA LIKO TAYARI Hekalu la kwanza kama tunavyofahamu lilitengenezwa na Mfalme Sulemani, Ni hekalu lililochukua kipindi cha miaka 7 mpaka kukamilika, Tunasoma.. 1 Wafalme 6:38 ”Hata katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, na sharti zake zote. Basi muda wa miaka ..
NA WANADAMU WAKAUNGUZWA MAUNGUZO MAKUBWA Ufunuo wa Yohana 16:8 “Na huyo wa nne akakimimina kitasa chake juu ya jua, nalo likapewa kuwaunguza wanadamu kwa moto. [9]Wanadamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu”. Umewahi kuitafakari mwisho wa hii dunia itakuaje? Biblia imeweka ..
USILALE USINGIZI WAKATI HUU WA KUMNGOJEA BWANA Biblia inatusihii tusilale usingizi sisi tulio wana wa nuru..hasa katika wakati huu wa kungojea parapanda ya mwisho, huu ni wakati wa kukesha kweli Kweli. 1 Wathesalonike 5:1 Lakini, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira, hamna haja niwaandikie. [2]Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana ..
Naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake. Mathayo 24:17-18 naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake; [18]wala aliye shambani asirudi nyuma kuichukua nguo yake. Katika nyakati tunazoishi kila mtu anafahamu kuwa tunaishi ukingoni kabisa mwa siku za mwisho, lakini cha kusikitisha ni kwamba pamoja na kuwa watu ..
KANISA NA SIKU ZA HATARI Shalom: Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Kabla hatujaendelea mbele kujifunza ujumbe wa Roho Mtakatifu, hebu kwanza turudi shule, bila shaka umewahi kusoma soma la biolojia(sayansi), sasa kuna jambo nataka tujikumbushe linalohusiana ..