Category : Siku za Mwisho

SIKU ILE NI SIKU YA FUJO Ezekieli 7:5 “Bwana MUNGU asema hivi; Ni jambo baya, jambo baya la namna ya peke yake; angalia, linakuja. [6]Mwisho umekuja, mwisho huu umekuja; unaamka ukupate; angalia, unakuja. [7]Ajali yako imekujia, wewe ukaaye katika nchi hii; majira yamewadia, siku ile inakaribia; SIKU YA FUJO, wala si ya shangwe milimani. [12]Majira ..

Read more

NAJA KAMA MWIVI KESHENI Maandiko yanatufundisha kuwa Bwana YESU atakuja kama “Mwivi”.. Ufunuo 16:15 “(Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake)” 1Wathesalonike 5:1-3 Lakini, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira, hamna haja niwaandikie. [2]Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja ..

Read more

BASI NINGOJENI ASEMA BWANA. Sefania 3:8 “Basi ningojeni, asema Bwana, hata siku ile nitakapoondoka kuteka mateka; maana nimeazimia kuwakusanya mataifa, ili nizikutanishe falme, nipate kuwamwagia ghadhabu yangu; naam, ukali wote wa hasira yangu; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa wivu wangu”. Majira yaliyopo mbele yetu, si rafiki kabisa ndugu yangu, Bwana ameshaihidi kuharibu ..

Read more

MIMI NAMI NITACHEKA SIKU YA MSIBA WENU. Jina la Bwana Yesu libarikiwe daima, karibu tuendelee kuyatafakari maneno ya Mungu. Mambo mengi yanayoendelea hapa duniani yamebeba ufunuo wa mambo yalivyo rohoni. Kwa mfano hukuku wanazotoa wanadamu kwa wanadamu wenzao katika mahakama yao, ni ufunuo wa hukumu ambayo Mungu ameandaa kuwahukumu wanadamu, ambao kila mtu atahukumiwa kulingana ..

Read more

TUPO KATIKA ILE SAA YA KUHARIBIWA. Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO litukuzwe mpendwa, karibu tujifunze habari za uzima. Kama wewe ni msomi mzuri wa BIBLIA utakuwa unafahamu kuwa kuna saa ya kujaribiwa na kuharibiwa kwa huu ulimwengu. Bwana Yesu alisema mwenyewe.. Ufunuo 3:10 Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke ..

Read more

Je! Watu watakaookolewa au watakaonyakuliwa ni wachache? Je! biblia inasemaje? kuhusu hili. Hebu tusome jibu la Bwana Yesu. Luka 13:22 “Naye alikuwa akipita katika miji na vijiji, akifundisha, katika safari yake kwenda Yerusalemu. [23]Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, [24]JITAHIDINI KUINGIA KATIKA MLANGO ULIO MWEMBAMBA, kwa maana nawaambia ya kwamba WENGI ..

Read more

  SIKU YA PARAPANDA KULIA NA WAFU KUFUFULIWA. 1Wakorintho 15:51 “Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, [52]kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; MAANA PARAPANDA ITALIA, NA WAFU WATAFUFULIWA, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika”. Siku moja inapopita, ndivyo tunavyoikaribia ile siku kuu ya kwenda mbinguni, siku ile ya ..

Read more

YEYE AJAYE ANAKUJA UPESI Waebrania 10:37 “Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, YEYE AJAYE ATAKUJA, wala hatakawia”. Angalia muda unavyokimbia, angalia majira yanavyobadilika, angalia maasi yanavyoongezeka kwa kasi.. Je! yote haya unajua ni ishara ya nini?..Si ya kitu kingine bali ya YEYE AJAYE!!.. Ndio! Yupo mmoja anayekuja! na yupo karibu sana.. huyo sio mwingine zaidi ..

Read more