
Swali: Neno la Mungu katika mhubiri 9:16 linasema hekima ya maskini haisikilizwi. JE na sisi tunapaswa kupuuzia mashauri au hekima za watu maskini? Kama si hivyo, basi Hilo andiko Lina maana Gani? Jibu: tusome tena.. Mhubiri 9:16 “Ndipo niliposema, Bora hekima kuliko nguvu; walakini hekima ya maskini hudharauliwa, wala maneno yake hayasikilizwi.” Tunaposoma andiko hilo ..