Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo. Mungu wetu Hana Upendeleo (soma kumb 10:17, Rumi 2:11, Galatia 3:28), tusoma haya kwa pamoja.. Matendo ya Mitume 10:34-35 34″ Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo; 35 bali KATIKA KILA TAIFA MTU AMCHAYE na kutenda haki HUKUBALIWA NA YEYE.” Tangu Uumbaji ..
Archives : August-2024
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Maombi ya kukemea au kufukuza mapepo hayamfungui mtu au kumweka huru moja kwa moja! Bali yanafukuza Yale mapepo kwa muda, na baadae watarudi kuangalia Hali ya maskani yao, kama kuna upenyo wa kurudi watarudi, tusome.. Mathayo 12: 43 “Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali ..
Nini maana ya kusali kwa kupayuka payuka? Shalom Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo kwa njia ya swali hili. Maandiko Matakatifu yanatwambia… Mhubiri 5:2 “….. kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo MANENO YAKO na yawe MACHACHE.” Sasa ..
Bwana wetu Yesu Kristo Asifiwe sana. Mpendwa mwenzetu anauliza JE ni sahihi kwenda kutubia dhambi zako kwa kiongozi wa dini mfano padre, kama ilivyoandikwa katika (Yohana 20:23) ? Jibu: kwanza turejee mstari husika.. Yohana 20:23 ” Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.” Tuongezee.. 18 “Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, ..
Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Baada ya kumwamini Yesu na kuokoka, kuna mambo sita Mungu huyafanya ili kuondoa ule uovu ndani ya mtu, Nayo ni.. 1. DAMU Kwakuwa sote tulizaliwa katika deni la dhambi, hukumu ya mauti ilikuwa juu ya Kila mmoja wetu (Rumi 6:23). Kwa kifo Cha Yesu Kristo ..
SWALI.. Kwa nini Mungu aliikataa sadaka ya mazao kutoka kwa kaini na akaikubali sadaka ya wanyama kutoka kwa Habili? Je wanyama ni bora kuliko mazao mbele za Mungu? JIBU..Tusome Mwanzo 4:4 “Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. Bwana akamtakabali Habili na sadaka yake; 5 bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. ..
SWALI…Kwa nini tunatoa sadaka? Kuna muhimu gani wa kutoa sadaka? Je ni dhambi usipotoa sadaka? JIBU..Kutoa ni wajibu wa kila mtu aliyemwamini Kristo iwe ni kutoa sadaka au kitu kingine chochote. Mtu asiyetoa bado hajabadilishwa moyo wake na maisha yake yapo mbali na Mungu. Sisi tunatoa sadaka kwa sababu hata tulivyonavyo tumepewa na ..
Bwana Yesu Kristo asifiwe, karibu tujifunze maandiko Matakatifu ili tuzidi kumjua Mungu wetu katika kila namna.. ingali bado tunapumua. Siku ya leo tutaenda kujifunza umuhimu wa kumtolea Mungu sadaka isiyo na kasoro yoyote.. Upo umuhimu mkubwa sana wa kumtolea Mungu vitu vyenye hadhi ya hali ya juu ambavyo vinamgharimu mtu hadi kuvitoa. Tusitoe tu ..
Shalom: Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa Uzima libarikiwe; Karibu katika darasa fupi tujifunze baadhi ya mambo ambayo yanapuuziwa na kuchukuliwa kirahisi na Watu wengi ila ni mambo makuu sana katika kukuza Imani..japokuwa yanaonekana ni madogo. Ipo tofauti kati ya sadaka na msaada. Wakati ambao unajitoa kuwasaidia wasiojiweza hapo unatoa msaada, na Mungu ..
SWALI, Bwana Yesu alimaanisha nini aliposema “Utoapo sadaka mkono wako wa kulia usijue ufanyalo mkono wako wa kushoto” JIBU, Hebu tusome kwanza hiyo habari katika kitabu cha Mathayo 6:1-4 Mathayo 6:1“ Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. ..