JIBU, tusome.. 14]Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza. Mwandishi anaanza kwa kumsifia Mungu wetu kwamba ni tabia yake siku zote kuwaongoza watu wake. Anamaanisha kwamba Mungu hatamuacha mtu bali atamuongoza siku zote katika njia nzuri iendayo uzimani, njia nzuri ya kupigana vita, yenye kujenga na hata kupanda. Ndivyo ..
Archives : August-2024
Bwana wetu Yesu Kristo na Asifiwe sana. Ukisoma kitabu cha Mithali 26:2 ili maanisha nini? “Kama SHOMORO katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu.” Jibu: Laana zisizo na sababu Mungu anazifananisha na Shomoro au ndege wanao Tanga-tanga angani. Jamii mbalimbali za ndege huonekana angani kila siku ..
JIBU.. Ikiwa mtu amelikiri jina la Yesu na kuamua kumfuata Kristo, ndani yake hutoka chemichemi ya maji yaliyo hai (Mithali 4:23)na Yesu ndiye hutoa maji hayo ambayo hayakauki… Maji hufanya kazi zifuatazo1.Kuondoa kiu2.Kumeesha3.Kuondoa uchafu4.Kugharikisha ikiwa yatazidi Hata katika moyo wa mtu maji hufanya kazi hizohizo, yanaondoa kiu ya kufanya mambo mauovu (Ufunuo 21:6, Yohana 4:14), ..
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ukianza kusoma kitabu cha Mathayo 24:3 utaona wanafunzi wake Yesu walikuwa wakimuuliza Bwana Yesu mambo hayo aliowaambia yatakuwa lini maana yake yatatokea kipindi gani au wakati gani?, lakini hatuoni wanaishia hapo tu wanamuuliza tena kuwa dalili ya kurudi kwake Bwana Yesu au ..
Shalom, tusome pamoja katika kitabu cha Isaya 54:16 Isaya 54:16 “Tazama, nimemwumba MHUNZI avukutaye moto wa makaa, akatoa silaha kwa kazi yake; nami nimemwumba mharibu ili aharibu” Mhunzi au wahunzi wanaozungumziwa hapa ni wanaofua vyuma, fedha, shaba, au Dhahabu. Ikimaanisha wanaviyeyusha vyuma au madini husika katika maumbo mbalimbali kutengeneza silaha au Urembo. Sasa utofauti kati ..
Bwana Wetu Yesu Kristo na Asifiwe. tusome.. Mwanzo 36:15 “Hawa ndio MAJUMBE wao wana wa Esau; wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau; JUMBE Temani, JUMBE Omari, JUMBE Sefo, JUMBE Kenazi, 16 JUMBE Kora, JUMBE Gatamu, jumbe Amaleki. Hao ndio MAJUMBE, waliotoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Hao ni wana wa Ada”. JUMBE ..
Alani ni mfuko unaovaliwa kiunoni na askari kwa ajili ya kuhifadhi upanga hasa wakati wa vita…. Neno hili tunaliona katika vifungu vifuatavyo…. 1Samweli 17: 51 “Ndipo Daudi akapiga mbio, akasimama juu ya Mfilisti, akautwaa upanga wake, akaufuta alani mwake, akamwua, akamkata kichwa kwa upanga huo. Nao Wafilisti walipoona ya kuwa shujaa wao amekufa, wakakimbia” 1Nyakati ..
Hebu tuvipitie vifungu vyenyewe 2Petro 2:12 “Lakini hao kama wanyama wasio na akili, ambao walizaliwa kama wanyama tu wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyoyajua, wataangamizwa katika maangamizo yao; 13 Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, WAKIDHANIA KUWA ULEVI WAKATI WA MCHANA NI ANASA; wamekuwa ni mawaa na aibu wakifuata anasa ..
Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Swali: tunajifunza habari ya WAKRETE kwamba walikuwa ni WAONGO, na walishuhudiwa na nabii wao! JE? Walidanganya Nini na ni nani basi huyo nabii wao? Jibu: WAKRETE ni Jamii ya watu wanaoishi katika visiwa vya krete huko Ugiriki. Mtume Paulo anaandika waraka kwa Tito dhidi ya kanisa na ..
Bwana wetu Yesu Kristo na Asifiwe sana. Habari hizi utazipata katika ule utabiri wa Yakobo juu ya watoto wake, alipokuwa akiwabariki, tunaona anapofikia kwa Dani anasema Dani yeye atakuwa BAFE. Sasa JE? Ni nani huyo BAFE? Turejee.. Mwanzo 49:17″ Dani atakuwa nyoka barabarani, BAFE katika njia, Aumaye visigino vya farasi, Hata apandaye ataanguka chali. 18 ..