MBINGUNI Maeneo mengi ya biblia yanaposema Mbinguni huwa yanamaanisha ni moja kwa moja kule Mungu alipo, anapokaa pamoja na malaika zake, ndipo huko Bwana Yesu alipokwenda kutuandalia makao, ambao kwa sisi watu wa Mungu, watakatifu bado hatujafika hata mmoja wetu.. Hiyo Ndio mbingu ya tatu ambayo alinyakuliwa mtume Paulo na kuonyeshwa vitu ambavyo kibinadamu ..
Archives : October-2024
Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Liko jambo kubwa sana kujifunza kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu Kristo. Tomaso hakuwa na tabia ya wizi,au usaliti Kama ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote lakini iko tabia ambayo alikuwa nayo tofauti kidogo na wenzake. Lakini pia Tomaso alikuwa lazi hata kufa pamoja na Bwana Yesu ..
Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana Yesu. Tusome maandiko haya. 1Petro 1:13 “Kwa hiyo vifungeni viuno vya nia zenu, na kuwa na kiasi; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo. 14 Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu”. Popote inapozungumziwa katika ..
Shalom. Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tukisoma katika kitabu cha ufunuo katika sehemu tofauti tofauti/sura neno hili limejirudia rudia zaidi ya mara 2. Ufunuo wa Yohana 2:17 “YEYE ALIYE NA SIKIO, NA ASIKIE neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa……” Lakini ukisoma tena.. Ufunuo wa Yohana 2 7 YEYE ALIYE NA SIKIO, na alisikie neno ..
Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Bwana wetu yesu kristo. Filipo mhubiri wa injili aliagizwa na malaika wa Bwana aende njia ya jangwani ( Gaza) alipokuwa akielekea huko njiani alikutana na mkushi ( towashi) ili akamhubiria injili na siku hiyo akabatizwa na kupelekwa eneo lingine.tukisoma maneno ya uzima yanasema. Matendo 8:26 “Malaika wa ..
Jina la Mwokozi wetu libarikiwe, karibu katika kujifunza Neno la Mungu litupalo uzima wa maisha yetu Ukisoma katika, Luka 6:37 “Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa”. Hapa tunaona neno la Mungu linatuqgiza kwa Habari ya kutokuhukumu Wala kulaumu, sasa je ni dhambi au makosa kumwambia mtu ukweli unapoona amefanya jambo isivyo stahili. ..
Tunachopaswa kufahamu ni kuwa “Mungu ni BABA wa kila kitu hapa duniani na mbinguni pia, ndiyo maana Paulo akasema maneno haya Waefeso 3:14 “Kwa hiyo nampigia Baba magoti, 15 ambaye kwa jina lake UBABA WOTE WA MBINGUNI NA WA DUNIANI UNAITWA”, Kama ilivyo wajibu wa baba wa kimwili ulivyo katika familia yake, jinsi anavyojali, navyohudumia, ..
Tusome… Ufunuo 20:11 “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana. 12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa ..
Nakusalimu katika Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Ziko ibada kuu tatu ambazo watu wengi sana katika nyakati hizi za Mwisho watu wanaziabudu pasipo hata kufahamu. Maana ibilisi amewafumba macho wasiweze kutambua. Tutazianisha hapa na kuzitazama kwa undani zaidi kwa neema za Bwana. SANAMU ZILIZOCHONGWA KWA MFANO WA MTU. 2.SANAMU-WATU. 3.SANAMU-VITU. Aina kuu hizi tatu ..
Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu yenye uzima. Tusome… Isaya 29:16 Ninyi mnapindua mambo; Je! Mfinyazi ahesabiwe kuwa kama udongo; kitu kilichomfinyangwa kimnene yeye aliyekifinyanga, Hakunifinyanga huyu; au kitu kilichoumbwa kimnene yeye aliyekiumba, Yeye hana ufahamu? Bila shaka kama we ni msomaji wa biblia naamini si mara ya kwanza kukutana ..