Archives : January-2025

Kuwa Mtu Chunguza-chunguza na tafuta-tafuta. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mtu wa kuchunguza-chunguza ni anatafsirika kwa namna gani? Mtu anayechunguza na kutafuta kuhusu mambo ya rohoni mara nyingi ni mtu anayehisi kiu ya kiroho au anayetafuta maana ya maisha, uelewa wa kiroho, na uhusiano wa kina na ..

Read more

Marijani Ni vitu vya rangi ya samawi, au ni vitu vya thamani vilivyokuwepo katika ufalme wa Israeli. Tusome maandiko ili tujifunze zaidi. Ayubu 28:17 “Dhahabu na vioo haviwezi kulinganishwa nayo; Wala kubadili kwake hakutakuwa kwa vyombo vya dhahabu safi. 18 Havitatajwa fedhaluka wala bilauri; Naam, kima cha hekima chapita marijani”. Maombolezo 4:7 “Wakuu wake walikuwa ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe nakusalimu kupitia Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, karibu katika kujifunza Neno hili Maavya ni neno au tunaweza kusema kwa lugha nyepesi kuwa ni cheo cha mtu, mfano mama, baba, mjomba nk.. kwahiyo maana halisi ya neno hili limaanisha ” mama mkwe” Neno hili tunalipata katika kitabu cha Mika 7:6 “Kwa maana ..

Read more

Mungu amewekeza kitu kwako je! Unakitumiaje?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kila mmoja mmoja wetu pale tu anapookoka Mungu anawekeza kitu ndani yako ambacho Mwisho wa siku anatarajia kiongezeke zaidi ya vile alivyokiweka kwa mara ya kwanza. Na ni jukumu lako kuhakikisha kinaongezeka. Kama vile muwekezaji yeyote ..

Read more