Author : Paul Elias

Fahamu wajibu wako kama kuhani wa Mungu Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Katika agano jipya kila mtu amefanyika kuwa ni kuhani, na Yesu Kristo ndio kuhani wetu wetu mkuu kama jinsi maandiko yanavyo sema. 1 Petro 2:9-10 “Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mkuu wa uzima Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuoka ni Mwanzo wa kuwa na mahusiano mazuri na Mungu, lakini jambo la kusikitisha watu wengi wanaishia kuokoka peke yake tu. Na wanashindwa kuwa na mahusiano ya karibu na Bwana Yesu. “Shetani haogopi wokovu ulionao, Shetani anaogopa mahusiano yako wewe na ..

Read more

Tafuta kwa bidii kuwa na nguvu za rohoni. Shalom,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ili Mkristo aweze kuleta mabadiliko kwake yeye,kwa jamii inayomzunguka na katika ufalme wa Mungu katika mambo ya Muhimu sana anatakiwa kuwa nayo basi ni kuwa na nguvu nyingi za rohoni. Nguvu za rohoni ..

Read more

Tafuta kukaa uweponi mwa Mungu daima. Shalom! Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Uwepo wa Mungu upo pamoja nasi siku zote na kila mtu alieokoka anao uwepo wa Mungu kwa sababu anae Roho wa Mungu ndani yake. Lakini si kila Mkristo anakaa ndani ya uwepo wa Mungu, uwepo ..

Read more

Kaa mahali ambapo Mungu amekusudia uwepo!. Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mahali ambapo Mungu amepakusudia kwa kila mtoto wake kukaa na kukuzwa ni sehemu moja tu nayo inaitwa kanisa. Agenda au mkakati wa Mungu kukutengeneza na kukuimarisha kiroho lakini pamoja na kuwakomboa watu kutoka gizani na ..

Read more

Kwa nini tunaomba toba/kutubu ikiwa tumesamehewa Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Yapo mafundisho ya kishetani yanayowadanganya Wakristo wengi kwamba “ sio lazima kuomba toba tayari umeshasamehewa dhambi zako kwa nini unaanza kulia tena Mungu nisamehe,Nirehemu yaani unamkumbusha Mungu akusamehe na wakati alishakusamehe nk” ndugu yangu ikiwa umepatwa ..

Read more

Hauko hapa duniani kwa bahati mbaya Shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Hakuna mwanadamu anaeishi hapa duniani kwa bahati mbaya yaani kama ajali tu akajikuta yupo la! Kila mmoja duniani hapa haijalishi alipatikana kwa njia gani lakini hayupo kwa bahati mbaya. Ikiwa umeokoka upo ndani ya Yesu Kristo basi ..

Read more

Tunatakaswa au tunajitakasa katika Yesu Kristo? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Katika Biblia maneno yote haya kutakaswa na kujitakasa yote yametumika sehemu tofauti tofauti na ni muhimu kuzingatia Muktadha wa kila habari maneno hayo yanapotajwa/kuandikwa. Na biblia imeweka wazi katika kila Eneo maneno ..

Read more

Fahamu Maana halisi ya Kuabudu. Shalom, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuabudu ni Neno ambalo limezoeleka kwa Wakristo wengi sana.  Karibu Wakristo wote wanalisema neno hili. Wachungaji, waimbaji wa nyimbo za injili, nk lakini wengi haswa hawafahamu/hatufahamu maana halisi ya Neno hili “ Kuabudu ” ni neno ambalo ..

Read more

Lifanye Neno la Mungu kuwa tiba ndani ya roho yako na mwili wako. Shalom,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Zaburi 107:20 “Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.” Neno la Mungu ni tiba kwa mwanadamu(maana aliumbwa kwa hilo yaani Neno la Mungu/Mungu mwenyewe) ni neno ambalo ..

Read more