Category : Biblia kwa kina

Mavazi ya kikahaba ni mavazi ya aina gani? Mithali 7:7 “Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili, [8]Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake, [9]Wakati wa magharibi, wakati wa jioni, Usiku wa manane, gizani. [10]Na tazama, mwanamke akamkuta, ANA MAVAZI YA KIKAHABA, mwerevu wa moyo; [11]Ana kelele, na ukaidi; Miguu yake ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. kuna mambo ya muhimu sana kama mwamini unayotakiwa kuyaelewa ama kuyafahamu juu ya Neno la Mungu? Kama usipoelewa kuna hatua hutafika kamwe. Kuna mambo mengi ya Msingi yanayokuhusu na ni kwa faida yako hutayafahamu na utaelendelea ..

Read more

NENO LA MUNGU NI KIOO Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu wetu linafananishwa na vitu vingi katika biblia, kuna mahali linafananishwa na “Taa” (Zab.119:105)”, sehemu nyingine linafananishwa na Upanga wa roho (Waebrania 4:12, Waefeso 6:17)” Na kuna sehemu linafananishwa na “Kioo”. Na leo tutajifunza ni kwa namna gani ..

Read more

KUWA MAKINI TUNAPIMWA KATIKA MIZANI 2 Samweli 2:3 “Msizidi kunena kwa kutakabari hivyo; Majivuno yasitoke vinywani mwenu; Kwa kuwa Bwana ni Mungu wa maarifa, NA MATENDO HUPIMWA NA YEYE KWA MIZANI”. Ndugu matendo yetu yanapimwa katika mizani kila siku yakilinganishwa na ya wengine kama sisi…kizazi chetu kinapimwa katika mizani kikilinganishwa na vizaza vilivyotangulia.. Mathayo 12:41 ..

Read more

Huwezi kutoa kitu kisafi katika kitu kichafu. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe milele. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu. Kuna mambo ambayo bila kufuata kanuni fulani hatoweza kupata. Mfano mwanafunzi akitaka kufaulu mtihani hana budi kusoma kwa bidii sana hiyo ndio kanuni, lakini akiingia kwenye chumba cha mtihani, huku hajasoma kabisa ni wazi ..

Read more

JIFUNGE, KAVAE VIATU VYAKO. Matendo ya Mitume 12:7-9 “Mara malaika wa Bwana akasimama karibu naye, nuru ikamulika mle chumbani, akampiga Petro ubavuni, akamwamsha, akisema, Ondoka upesi. Minyororo yake ikamwanguka mikononi. [8]Malaika akamwambia, JIFUNGE, KAVAE VIATU VYAKO. Akafanya hivyo. Kisha akamwambia, Jivike nguo yako, ukanifuate. [9]Akatoka nje, akamfuata; wala hakujua ya kuwa ni kweli yaliyofanywa na ..

Read more

NCHI YA GIZA KUU Shalom jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe daima. Je! unaifahamu ile nchi ya giza kuu. Biblia inatuambia ipo nchi ya giza kuu! Hebu tuangalie ni nchi ya namna gani hii. Ayubu 10:20-22 “Je! Siku zangu si chache? Acha basi, Usinisumbue, nipate ngaa kutuzwa moyo kidogo. [21]Kabla sijaenda huko ambako sitarudi kutoka huko ..

Read more

Je! vazi la suruali limeletwa na wazungu? Yapo mahubiri mengi ambayo ibilisi ameyainua katika siku hizi za mwisho, baadhi ya mahubiri hayo ni yale yanayohuburi kuwa Mungu haangalii mwili bali anaangalia moyo tu, ikiwa na lengo la kuhalalisha wanawake na wanaume kubadili mionekano yao Mungu aliyowaumba nayo. (Kuwa makini sana na injili hiyo maana imetoka ..

Read more

FAHAMU HATUA AMBAYO SHETANI ANATAKA UIFIKIE. shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Shetani kuna mahali ambapo anataka kila mtu aliemwamini Yesu Kristo aifikie hatua Fulani na mtu huyo akishafikia katika hatua hiyo basi kwake shetani ni ushindi mkubwa sana maana kwa mtu huyo ni ngumu sana ..

Read more

HAMANI BIN HAMADATHA ADUI YA WAYAHUDI. Jina la Bwana wetu YESU KRISTO aliye mkuu wa uzima wote litukuzwe. Karibu katika kujifunza NENO la Mungu ili tukue toka utukufu hata utukufu mpaka tutakapofikia kile kilele cha kumjua sana huyu mwokozi wetu Yesu. Leo kwa neema za Mungu tutajifunza kitabu cha Esta ile sura ya 3. Ikiwa ..

Read more