Tunapataje ondoleo la dhambi? Karibu tujifunze biblia. Swali: Naomba kufahamu hatua ya kupata ondoleo la dhambi maishani mwangu. Swali nzuri sana. Biblia imetoa kanuni ya kupata ondoleo la dhambi ambayo tunaisoma katika.. Matendo ya Mitume 2:38 “Petro akawaambia, TUBUNI, MKABATIZWE kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, MPATE ONDOLEO LA DHAMBI ZENU, nanyi mtapokea kipawa ..
Category : Maswali ya Biblia
MBIGILI NI NINI? Mbigili ni aina ya mmea inayotambaa ardhini na ambayo matunda yake yana miiba kali inayoweza kuumiza miguu na mikono ikishikwa, Maumivu yake huwa ni makali sana. Tazama picha hapo juu. Katika biblia Neno hili limetajwa katika vifungu mbali mbali. Isaya 5:5-7 “Haya basi, sasa nitawaambieni nitakalolitenda shamba langu la mizabibu; nitaondoa kitalu ..
Je vipofu hawana dhambi kulingana na Yohana 9:41. Tusome.. Yohana 9:41 “Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa”. Awali ya yote tufahamu kuwa vipofu ambao Bwana anawazungumzia hapo sio vipofu wa mwilini bali ni wa rohoni, maana yake ni watu wasioona, wasiojua mambo ya rohoni hao ..
Je! biblia inaturuhusu tuwe na hasira sawa sawa na Waefeso 4:26? Awali ya yote tusome andiko lenyewe. Waefeso 4:26 Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; Hapo biblia inasema tuwe na hasira ila tusitende dhambi, lakini sehemu nyingine inasema hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu (Mhubiri 7:9). Hapo imekaaje? Hasira ..
Swali: ni nani huyo anayetajwa katika Hesabu 24:17 Jibu tusome; Hesabu 24:17 Namwona, lakini si sasa; Namtazama, lakini si karibu; Nyota itatokea katika Yakobo Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli; Nayo itazipiga-piga pembe za Moabu, Na kuwavunja-vunja wana wote wa ghasia. Huyo anayetajwa hapo, bila shaka ni YESU KRISTO Mkuu wa Uzima na Bwana wa Mabwana, yeye ..
Kwa nini tunaomba toba/kutubu ikiwa tumesamehewa Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Yapo mafundisho ya kishetani yanayowadanganya Wakristo wengi kwamba “ sio lazima kuomba toba tayari umeshasamehewa dhambi zako kwa nini unaanza kulia tena Mungu nisamehe,Nirehemu yaani unamkumbusha Mungu akusamehe na wakati alishakusamehe nk” ndugu yangu ikiwa umepatwa ..
Nini maana ya Mhubiri 11:3b Mhubiri 11:3 Mawingu yakiwa yamejaa mvua, Yataimimina juu ya nchi; NA MTI UKIANGUKA KUELEKEA KUSINI, AU KASKAZINI, PAANGUKAPO ULE MTI, PAPO HAPO UTALALA. Swali nini maana ya maneno haya, mti ukianguka kuelekea kusini au kaskazini Paangukapo ule mti papo hapo utalala? Kwanza kabla hatujapata maana ya maneno hayo, hebu kwanza tuone mti unawakilisha ..
Tunatakaswa au tunajitakasa katika Yesu Kristo? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Katika Biblia maneno yote haya kutakaswa na kujitakasa yote yametumika sehemu tofauti tofauti na ni muhimu kuzingatia Muktadha wa kila habari maneno hayo yanapotajwa/kuandikwa. Na biblia imeweka wazi katika kila Eneo maneno ..
Nuhu aliuhukumu je ulimwengu? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Maandiko yanasema kuwa Nuhu aliuhukumu ulimwengu makosa, je Nuhu alikaa katika kiti cha enzi na kuanza kuuhukumu ulimwengu? Waebrania 11:7 “Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, ..
Bwana alimaanisha nini aliposema ”viuno vyenu viwe vimefungwa na taa zenu ziwe zinawaka? Jibu: Tusome Luka 12:35 “VIUNO VYENU NA VIWE VIMEFUNGWA NA TAA ZENU ZIWE ZINAWAKA. [36]nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka arusini, ili atakapokuja na kubisha, wamfungulie mara. [37]Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga ..