Category : Maswali ya Biblia

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Nini maana ya kuwatema Farasi? Na kwanini Mungu aliwaagiza Israel kuwatema Farasi wa adui zao? Tusome.. Yoshua 11:6 “Bwana akamwambia Yoshua, Usiche wewe kwa ajili ya hao; kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli; UTAWATEMA FARASI ZAO, na magari yao utayapiga moto. 7 Basi Yoshua ..

Read more

Shalom. Swali: Mafarisayo walipomwambia Yesu kuwa alitoa Pepo kwa beelzebuli, JE? Alimaanisha Nini alipowauliza JE watoto huwatoa kwa nani? Tusome.. Mathayo 12:24 “Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo. 25 Basi Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba ..

Read more

Shalom. Yeremia 23:18 “Maana, ni nani aliyesimama katika baraza la Bwana, hata akalifahamu neno lake na kulisikia? Ni nani aliyelitia moyoni neno langu, na kulisikia” Tufuatilie mtiririko wa habari hii kwa kuendelea mpaka 22, ili tupate taarifa sahihi zaidi.. “19 Tazama, tufani ya Bwana, yaani, ghadhabu yake, imetokea; ni dhoruba ya kisulisuli; itapasuka, na kuwaangukia ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo Mwokozi wetu. Kimiami kwa lugha ya sasa ni dirisha kubwa lililo katika ghorofa. Katika lugha/Kiswahili cha zamani ilimaniisha hivyo. Sasa ukisoma katika biblia ya kiingereza inaeleza wazi wazi kabisa maana yake ni nini!! Song of Solomon 2:9 [9]My beloved is like a gazelle or a young hart. Behold, he ..

Read more

Shalom, jina la Bwana libarikiwe. Mithali 14:20 “Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana rafiki wengi” Angalia na hapa.. Mithali 19:4 Inasema “Utajiri huongeza rafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake”. Hizi ni Mithali kama zilivyoandikwa na mfalme Sulemani kwa hekima alizopewa na Mungu, ameainisha mafunzo na maonyo mbalimbali kuhusu maisha ya ..

Read more