Jina la mwokozi litukuzwe karibu katika kujifunza Hapo aliposema fimbo ya udhalimu haitakaa juu ya fungu la mwenye haki Turejee Zaburi 125:2-3 [2]Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu, Ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake, Tangu sasa na hata milele. [3]Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya fungu la wenye haki; Wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye ..
Category : Maswali ya Biblia
Neno hili linatoka katika maneno haya ya Mungu. Mithali 10:22 “Baraka ya Bwana hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo” Kutokana na haya maandiko tunaona utajiri aliouzungumzia kristo ni utajiri mwingine tofauti na utajiri wa pesa, magari, nyumba na zaidi ambapo ni utajiri huu wa mwitikio wa wokovu ndani ya mtu neno linasema. Ufunuo 2:9 “Naijua dhiki ..
Maandiko yalimaanisha nini kusema kaini alitoka mbele ya uso wa Mungu, JE yaalimaanisha kuwa alikufa au la ? Tusome Mwanzo 4:9 “Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. 11 Basi sasa, umelaaniwa ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu katika kujifunza tena Mastari huu umekuwa ukitafsriwa tofauti, imekuwa ilidhahaniwa kuwa mstarii huu unamaanisha Mtakatifu kuanguka katika dhambi, la sivyo kwa sababu ingekuwa Kila wakati mwenye haki ananguka katika dhambi ya wizi kisha anainuka, alafu tena baada ya mda anaanguka, badae tena anaanguka, ni wazi kuwa itamfanya kupoteza nguvu ya kumtumikia ..
Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Yesu Kristo. Bwana wetu Yesu Kristo anamaanisha kuwa ndani ya moyo wa mwanadamu kuna mawazo mengi ya tamaa ambayo mwisho wa siku hizo tamaa hupelekea upotevu kwamfano mtu atatamani anunue nyumba au awe na mali nyingi ili aweze kuwatendea vibaya wale waliomtendea vibaya wakati Bado hajapata mali ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu tujifunze neno la Mungu Yesu Kristo alijulikana kwa sifa nyingi sana, mfano anajulikana kama simba wa yuda, maji ya uzima, mwamba imara nk… Hizi ndiyo tabia ambazo zilimtambulisha Yesu Kristo Likini Leo tutajifunza sifa yake moja, Yesu Kristo kwanini aitwe mwana-kondoo na si mwana- mbuzi au mwana mbuzi au mwana- beberu. ..
Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Tusome maandiko ili tupate maana iliyo bora, rahisi na yenye kueleweka. Mithali 17:16 “Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?”. Hili andiko linamaanisha kuwa ni ile Hali ya mtu kuwa na uhitaji wa ..
Bwana Yesu asifiwe Karibu tuyatafari maneno ya uzima Chakula kinachozungumziwa hapa ambacho kimetolewa sadaka kwa sanamu ni chakula ambacho kimepewa au kimetolewa maagizo ya kishetani ili kitumike mfano katika mambo ya kimila au kwa waganga na wachawi. Ndiyo hapo utakuta kabila Fulani wanafanya tabiko, kisha wanatumia mnyama yeyote labda mbuzi, ng’ombe, labda kwa ajili ya ..
Jina la Mwokozi wetu Yesu lisifiwe, Karibu the jifunze neno lake lililobeba uzima ndani yake… Swali: Je huu mti wa mvinje ulikuwa ni mti gani? Jibu: Kulingana na maandiko mti huu tunausoma katika habari ya Nuhu baada ya Mungu kumpa maagizo atengeneze safina kwa kutumia mti huu wa mvinje Mwanzo 6:13-14 [13]Mungu akamwambia Nuhu, Mwisho ..
Nakusalimu kupitia Jina la Yesu, ndugu Karibu katika kipindi kingine ili tuweze kutafakari maneno ya uzima… SWALI: Je kutokana ni kile alichokifanya sulemani, kufanya kosa la kuwajengea miungu madhabahu, baada ya kushawishiwa na wake zake,.sasa kupitia jambo hili sulemani hakusamahewa kabisa hiyo dhambi 1 Wafalme 11:4-9 [4]Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza ..