Umepewa muda ili utubu Ufunuo wa Yohana 2:20 “Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. [21] NAMI NIMEMPA MUDA ILI ATUBU, WALA HATAKI KUUTUBIA UZINZI WAKE. [22]Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao ..
Category : Uncategorized
MTAFUTE BWANA MAPEMA. 2Mambo ya Nyakati 34:1 “Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja huko Yerusalemu. [2]Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, akaziendea njia za Daudi babaye, asigeuke kwa kuume wala kwa kushoto. [3]Kwa kuwa katika mwaka wa nane wa kutawala kwake, NAYE AKALI MCHANGA, ALIANZA KUMTAFUTA MUNGU ..
Ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu. Mathayo 26:20 “Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Thenashara. [21]Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti. [22]Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana? [23]Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika kombe, ndiye atakayenisaliti. [24]Mwana wa Adamu aenda zake, ..
JIPONYE NAFSI YAKO USITAZAME NYUMA Ndugu yangu ni vizuri kufahamu kuwa hii dunia tayari imeshatamkiwa hukumu, na hakuna maombi yoyote yanayoweza kuifuta hukumu ya huu ulimwengu. Yaliyotamkwa na kuandikwa yatatimia kama yalivyo.. Hivyo kilichobaki kwetu ni sisi kuondoka na kujiokoa nafsi zetu, na katika safari yetu, hatupaswi kurejea/kutazama nyuma..tunapaswa tukazane kuzidi kusonga mbele, kwasababu ..
TUNAHITAJI KUSAIDIANA Nakusalimu katika jina kuu la Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika ukristo kusaidiana sisi kwa sisi ni jambo la muhimu sana na ni moja ya silaha ya kumshinda adui. Hebu tuitafakari habari hii kwa pamoja kisha tujifunze somo. 1 Mambo ya Nyakati 19:8 “Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi ..
Kama shujaa wa Bwana ni lazima uwe na uso kama wa Simba. Jina kuu la Bwana YESU KRISTO Mkuu wa Wafalme wa dunia na Simba wa kabila la Yuda libarikiwe milele yote. Karibu tujifunze injili ya kweli. Kama tunavyojua simba ni mnyama jasiri asiye na woga, biblia inasema katika.. Mithali 30:29 “Kuna watatu wenye mwendo ..
USIKUBALI KUTUMAINISHWA KWENYE DHAMBI Jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia.. Hatari kubwa iliyopo katika siku hizi za mwisho ni Kunyanyuka kwa jopo kubwa la Manabii wa Uongo ambao kazi yao ni kuwatumainisha watu waendelee kuishi katika dhambi na mwisho wa siku wakose mbingu… Sasa biblia inapotaja uwepo wa manabii wa uongo, haimaanishi tu manabii ..
NI TUMAINI GANI HILI UNALOLITUMAINIA? Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO lisifiwe daima, Nakukaribisha ndugu mpendwa tujifunze maandiko. Ikiwa kama mkristo fahamu kuwa kuna wakati watu wanaokuzunguka watataka kujua ni tumaini gani unalolitumainia mpaka unaishi maisha ya kujiamini namna hiyo. Ukiletewa habari ya ugojwa mpya uliozuka hauogopi!, huna hofu na wachawi wala majini, hata hauogopi ..
MWENYE HEKIMA ASIJISIFU KWASABABU YA HEKIMA YAKE. Je! Unajisifia nini ndani ya moyo wako? Jina la Bwana Yesu libarikiwe ndugu yangu..Karibu tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima, Maneno ya Mungu yanasema.. “.. Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya ..
Usikimbilie kutafuta msaada kwa miungu. Jambo linalomchukiza Mungu sana ni pale watoto wake wanapokimbilia kutafuta msaada kwa miungu wakati yeye yupo na hashindwi na jambo lolote. Na miungu siyo tu kwenda kwa waganga wa kienyeji, au kwa manabii wa uongo.. bali hata kwa watu wa kawaida…ukiwategemea sana wanakuwa miungu yako na mwisho wa siku Mungu ..