Category : Uncategorized

Usiache kupaza sauti yako kama tarumbeta. Kuna watu wanasema kuhubiri injili masokoni na vijiweni ni kukosa kazi ya kufanya na kwamba watu wanaofanya hivyo hawapo sawa kiakili au ni wavivu wa kufanya kazi. Lakini wewe ambaye umeitwa kufanya kazi hii ya Mungu, nataka nikutie moyo kwa Neno la Mungu ya kuwa usiache kupaza sauti yako ..

Read more

TUONDOKEE HATUTAKI KUZIJUA NJIA ZAKO  Ayubu 21:14 “Walakini walimwambia Mungu. Tuondokee; Kwani hatutaki kuzijua njia zako. 15 Huyo Mwenyezi ni nani, hata tumtumikie? Nasi tutafaidiwa nini tukimwomba? Hayo ndio maneno ya watu wengi waliofanikiwa katika mambo ya duniani, wakamsahau Mungu aliyewaumba. Lakini biblia inasema.. Ayubu 21:16 “Tazama, kufanikiwa kwao hakumo mkononi mwao;..” Tena anasema.. “Maana ..

Read more

UKITII, YESU ATAKUOKOA. Ni Kwanini watakaotangulia kwenda mbinguni wawe ni watu wanaoonekana kuwa mbali na Mungu, kuliko watu wa kidini? Mathayo 21:31 “….Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.” Mpaka kupelekea Bwana Yesu kuzungumza maneno hayo, ni kutokana na mfano aliousema juu yake kidogo, uliowahusu watoto wawili wa ..

Read more

MIMI NDIMI NJIA, KWELI NA UZIMA. Yohana 14:4 “Nami niendako mwaijua njia. [5]Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia? [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi”. Shalom karibu tujifunze Neno la uzima. Tukitaka kufika mahali Fulani au mji Fulani, ni wazi kuwa ..

Read more

KILA ALITAJAYE JINA LA BWANA NA AUACHE OUVU. Jina la Bwana wa Mabwana YESU KRISTO libarikiwe daima. Neno la Mungu linasema.. 2Timotheo 2:19 “Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, KILA ALITAJAYE JINA LA BWANA NA AUACHE OUVU.” Kulitaja jina la Bwana ni zaidi ya kutamka kwa mdomo, ..

Read more

Jihadhari usipoteze nafasi ya kuingia mbinguni. (Sehemu ya pili) Kama Ukijifunza Biblia kwa undani utagundua kuwa Bwana Yesu hakuwa na wanafunzi 12 tu! Bali alikuwa na wanafunzi wengine wengi sana Zaidi ya 70 biblia inasema hivyo katika (Luka 10:1-2)…Lakini baadaye alikuja kuteua wanafunzi 12 tu miongoni mwao wakutembea naye kila mahali alikokwenda ambao aliwaita Mitume. ..

Read more

Nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi. Shalom; jina la Yesu Kristo libarikiwe. Tunapomwamini Yesu Kristo na kuamua kumfuata kweli kweli tunafanyika kuwa watumwa wake, ndio maana tunamwita “Bwana”. Hivyo unapomwita kama Bwana, jiulize je umejiweka chini yake kama mtumwa? Zifuatazo ni sifa za watumwa. Wamejikana nafsi kweli kweli.Hakuna mtumwa yeyote anayekuwa na ..

Read more

Umepewa muda ili utubu Ufunuo wa Yohana 2:20 “Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. [21] NAMI NIMEMPA MUDA ILI ATUBU, WALA HATAKI KUUTUBIA UZINZI WAKE. [22]Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao ..

Read more

MTAFUTE BWANA MAPEMA. 2Mambo ya Nyakati 34:1 “Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja huko Yerusalemu. [2]Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, akaziendea njia za Daudi babaye, asigeuke kwa kuume wala kwa kushoto. [3]Kwa kuwa katika mwaka wa nane wa kutawala kwake, NAYE AKALI MCHANGA, ALIANZA KUMTAFUTA MUNGU ..

Read more

Ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu. Mathayo 26:20 “Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Thenashara. [21]Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti. [22]Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana? [23]Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika kombe, ndiye atakayenisaliti. [24]Mwana wa Adamu aenda zake, ..

Read more