JIBU… Shekina au shekhinah /schechinah, Ni neno la kiyahudi linalomaanisha, “kutua” au “kuweka makao” au “makazi” ya uwepo wa Mungu duniani… Basi utukufu wa shekina maana yake ni kujifunua kwa uwepo wa Mungu kwa dhahiri duniani, na kujifunua kwake kunaweza kuchukua mfumo wa vitu mbalimbali vya asili kama vile moto, wingu,moshi,mwanga, kijiti kinachoteketea n.k.,.. Shekina ..
Category : Uncategorized
JIBU… Mpango wa Mungu wa kurejesha uhusiano wake na mwanadamu ulianza na taifa moja tu, Israeli ambalo liliundwa na Ibrahimu na Isaka. Jumuiya ya Waisraeli ilikua ni kuwa jeshi kubwa la makabila 12, na watu wa mataifa walikuwa watu wa jamii nyingine. Mungu amekuwa akitembea na Israeli pekee kwa zaidi ya miaka 1,500, bila kushughulika ..
JIBU…. Matowashi ni watu waliojitoa wakfu kwa ajili ya Mungu (ufalme wa mbinguni) , ambao hawajihusishi na mambo ya wanawake yaani kuwa na mke au familia…Mfano wa matowashi katika bibliaMtume Paulo, Yohana mbatizaji, Barnaba, Eliya Mtishbi na Bwana wetu YESU KRISTO Lakini kuna jambo ambalo Bwana Yesu alilisema katika kitabu cha Mathayo, ambalo lilikanusha kuhusu ..
JIBU: Tusome.. Yohana 19: 28 “Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu. 29 Kulikuwako huko chombo kimejaa siki; basi wakatia sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakampelekea kinywani. 30 Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, Imekwisha. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake” Sifongo ..
Mwanazuoni ni mtu aliyejikita Katika utafiti au usomi wa ndani zaidi Katika tasnia fulani , lengo ni kupata ufumbuzi wa yale magumu yenye utata au yaliyojificha… Hivyo Katika biblia Mwanazuoni ni mtu anayeingia ndani kujifunza Biblia, ili kuieleza katika urahisi zaidi au katika ufasaha zaidi kwa jamii au kutoa majibu ya mambo magumu yaliyo ndani ..
Jina la mwokozi wetu Yesu kristo lihimidiwe daima. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Je madhabuhi ni nini? Madhabahuni ni eneo la kanisa ambalo watu wote uenda na kumtolea Mungu sadaka , kuomba, kushiriki meza ya Bwana, na kupeleka shukrani za sifa kwa Mungu (ni mahali pa kukutana na Mungu). Kwa maana hiyo madhabahuni si pale ..
Karismatiki. Ni neno la Kigiriki “Charisma ” lenye maana ya Favour(Upendeleo) au Gift (zawadi). Charis(Grace) yaani Neema. Hivyo tunaweza kusema kwa Lugha nyepesi ni zawadi au uwezo anaopewa mtu binafsi na Roho Mtakatifu kwa manufaa ya Kanisa au ukuaji wake wa kiroho. Ni jambo ambalo lilianza Mwanzoni kabisa Mwa karne ya ishirini (20) mnamo Mwaka ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo Mwokozi wetu. SWALI: KUVUKIZA UVUMBA NDIO KUFANYAJE? UVUMBA kwa Jina jingine ni UBANI. Ni mchanganyiko wa viungo mbali mbali ambao huchangwanywa pamoja na baada ya kukamilika huchomwa na kutoa harufu nzuri. Hivyo Uvumba ni Manukato yenye harufu nzuri sana pale unapochomwa katika Moto. Chanzo kikubwa cha uvumba kinapatikana ..
Agano la kale Mungu alikuwa aI’mkitumia njia kuu tatu, alitumia kuwasilisha ujumbe, au kuleta majibu au kuthibitisha jambo… Njia ya kwanza ni manabii, njia ya pili ni ndoto, na njia ya tatu ni Urimu na thumimu. Tunalithibitisha hilo katika kitabu cha 1Samweli 28:4 pale ambapo Mfalme Sauli alipokwenda kuuliza kwa Bwana kuhusu vita iliyokuwa inamkabili ..
Jina la Bwana wetu Yesu kristo litukuzwe. Karibu tujifunze neno la Mungu wetu, ambalo ndilo chakula cha roho zetu. Je! Noeli ni nini? Noeli ni neno la kilatini linalomaanisha (siku ya kuzaliwa) kuzaliwa kwa Bwana na mwokozi wa ulimwengu, Yesu kristo. Kwa kifaransa linaweza kumaanisha “habari njema” au “msimu wa krisimasi” kwa ujumla. Hivyo ni ..