Nini maana ya kanisa Zamani hata mimi kabla sijapata ufahamu/ maarifa ya maana halisi ya kanisa ipi, ukweli kabisa nilijua kuwa kanisa NI JENGO, tena na pale nilipona na msalaba basi akili yangu yote na ufahamu nikajua kanisa ni jengo ambalo bila hilo watu hawawezi kusanyika ili wamwabudu Mungu, huwenda sikua Mimi yamkini na wewe ..
Category : Uncategorized
Bwana Yesu anafundisha kwamba kumwangalia mwanamke kwa tamaa kunasababisha uzinzi katika nafsi. Ndio masturbation ni dhambi. Dhambi huanzia moyoni, na uasherati, kupiga punyeto, na kutazama ponografia ni matokeo ya ukosefu wa adili moyoni. Ili kuepuka dhambi hizi, mtu lazima ayakabidhi maisha yake kwa Yesu na kuamua kuanza maisha mapya ndani ya Kristo. Warumi 10:10 Kwa ..
Shalom.. Boriti ni Kipande kikubwa sana cha mbao,kipande hicho kinaweza kuwa Kwa muundo wa ki-gogo,au mbao yoyote yenye upana.. Na Kibanzi ni kichembe kidogo sana kama mchanga,wakati mwingine kufikia kuwa kama vumbi la mbao ambalo kuonekana kwake ni kugumu.ndicho Kibanzi.. Bwana Yesu alitoa mfano huo ili kuweka msisitizo kile alichotaka kuzungumza, Katika hali ya kawaida ..
Jina Lusifa halipatikani katika Biblia ya toleo la Swahili Union version (SUV) au matoleo mengine ya Kiswahili. Ni neno la Kilatini linalomaanisha “Nyota ya Alfajiri” na limetajwa katika: Isaya 14:12 [12]Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa! Watakatifu wa zamani walitafsiri Biblia kutoka lugha ya ..
SWALI: Nini maana ya Mafarisayo hupanua HIRIZI zao na kuongeza MATAMVUA yao? na ni kwa namna gani, wameketi katika kiti cha Musa? (Mathayo 23:1-5) JIBU: Nakusalimu kwa jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo nakukaribisha katika kuyatafakari maneno ya uzima. Kabla ya kwenda moja kwa moja katika jibu ni vyema tufahamu mafarisayo ni watu gani?? MAFARISAYO ..
Bwana Yesu kuna jambo alilikusudia hapa lifahamike na ndio maana akatoa mfano huo katika kitabu cha Mathayo 5:15, lakini kabla ya kuendelea mbele embu tutazame kwanza nini maana ya maneno hayo, Kiango na Pishi KIANGO Kiango ni kifaa maalumu kinachotumika kushikilia au kuning’inzia taa kwa jina lingine kinaitwa kinara, na kifaa hiki huwa lazima kikae ..
Kwaresma, linalotokana na neno la Kilatini Quadragesima, maana yake ni “Arobaini” na ni kipindi cha siku 40 cha kufunga kinachofanywa na baadhi ya wakristo kabla ya sikukuu ya Pasaka. Kusudi la mfungo ni kuwatayarisha Wakristo katika sala, toba, na unyenyekevu kwa ajili ya Pasaka iliyopo mbeleni. Kwaresma pia inahusishwa na Bwana kufunga kwa siku 40 ..
Jina la Bwana na mwokozi wetu, Yesu kristo litukuzwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu wetu, ambayo ndio taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Je! Pasaka ni nini? Kabla ya kuangalia pasaka ni nini, tuangalie asili ya ili neno Pasaka. Asili ya neno Pasaka, tunaliona pale Mungu alipokuwaa akiongea na Musa pamoja na ..
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu na Mwokozi wetu Yesu Kristo! JIBU: IJUMAA KUU. Hii ni siku maalumu inayokumbukwa na wakristo wengi duniani. Ni siku ya ijumaa kabla ya jumapili ya pasaka ambapo wakristo wengi duniani wanaiadhimisha kifo cha Mwokozi wetu Yesu Kristo. Siku hii huadhimishwa kila mwaka na Wakristo wengi Duniani. Kwanini iitwe ijumaaa ..
Nakukaribisha tujifunze Maneno ya Uzima ya Bwana Yesu… Upole ni ile hali ya kutokuonyesha uharibifu kwa mtu au kwa viumbe, na upole umeenda mbele Zaidi pale ambapo unakuwa na uwezo wa kuonyesha madhara fulani kwa mtu lakini hutumii nafasi hiyo kumdhuru.. Mfano mzuri tumtofautishe nyoka na Ngamia.. Nyoka ni kiumbe chenye udhaifu kisichokuwa na uwezo ..