Category : Uncategorized

Jina Lusifa halipatikani katika Biblia ya toleo la Swahili Union version (SUV) au matoleo mengine ya Kiswahili. Ni neno la Kilatini linalomaanisha “Nyota ya Alfajiri” na limetajwa katika:  Isaya 14:12 [12]Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi!  Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa! Watakatifu wa zamani walitafsiri Biblia kutoka lugha ya ..

Read more

Bwana Yesu  kuna jambo alilikusudia hapa  lifahamike na  ndio maana  akatoa mfano huo katika  kitabu cha Mathayo 5:15, lakini kabla ya kuendelea mbele embu tutazame kwanza nini maana ya maneno hayo, Kiango na Pishi KIANGO Kiango ni kifaa maalumu kinachotumika kushikilia  au kuning’inzia taa  kwa jina lingine kinaitwa kinara, na kifaa hiki huwa lazima kikae ..

Read more

Nakukaribisha tujifunze Maneno ya Uzima ya Bwana Yesu… Upole ni ile hali ya kutokuonyesha uharibifu kwa mtu au kwa viumbe, na upole umeenda mbele Zaidi pale ambapo unakuwa na uwezo wa kuonyesha madhara fulani kwa mtu lakini hutumii nafasi hiyo kumdhuru.. Mfano mzuri tumtofautishe nyoka na Ngamia.. Nyoka ni kiumbe chenye udhaifu kisichokuwa na uwezo ..

Read more