Neno kwa kina

  • Home
  • Kuhusu sisi
  • Mitihani ya Biblia
upArrow
Je! Ni watu gani hao wasamao Bwana, Bwana, lakini hawatoingia katika ufalme wa mbinguni? (Mathayo 7:21)

   February 26, 2023   Maswali ya Biblia, Uncategorized

SWALI: Tukisoma biblia katika (Mathayo 7:21), Bwana alisema kuwa, si kila mtu atakayemwbia “Bwana, Bwana” ndiye atakayeingia katika ufalme wa..

Read more

IKAWA, MFALME ALIPOYASIKIA MANENO YA TORATI, ALIYARARUA MAVAZI YAKE.

   February 26, 2023   Biblia kwa kina, Uncategorized

Mfalme Yosia katika wakati wa kutawala kwake, aliagiza ukarabati wa nyumba ya Bwana, kwa kuwatuma Shafani mwana wa Azalia, Maaseya Akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi, kwenda kwa Hilkia kuhani kwa lengo la kuihesabu fedha inayoletwa nyumbani mwa Bwana ili wapate kukarabati nyumba ..

Read more

MADHARA YA KULISIKIA NENO LA MUNGU NA KUTOWAZA  KUCHUKUA UAMUZI WO WOTE ULE WA KULIFANYIA KAZI (KULITII)

   February 24, 2023   Biblia kwa kina, Uncategorized

Kuna madhara makubwa mno pale ambapo mtu anapolisikia neno la kweli la Mungu, na kisha kulipuuzia kwa makusudi kabisa kwa kutokuwaza moyoni mwake na kuona ni namna gani afanye ili aweza kulitii neno hil..

Read more

Je! Ni kweli Ibrahimu na sara walikuwa ni ndugu wa baba mmoja? (Mwanzo 20:12), Na kama ni ndio, kwanini Mungu aliruhusu ndugu hao kuoana?

   February 21, 2023   Maswali ya Biblia, Ndoa na Mahusiano, Uncategorized

SWALI: Naomba majibu ya swali hili, Je! Ni kweli Ibrahimu na sara walikuwa ni ndugu wa baba mmoja kulingana na (Mwanzo 20:12)? Na kama ni ndio, kwanini Mungu aliruhusu Ibrahimu kumchukua ndugu yake..

Read more

Mtume Paulo alikuwa na maana gani kusema “Kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia” Je! Alikuwa akijigamba?(Wafilipi 3:6)

   February 19, 2023   Maswali ya Biblia, Uncategorized

SWALI: Naomba kuuliza, hivi mtume Paulo alikuwa na maana gani au alilenga nini hasa kwa kusema “kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia? Je! Alisema hivyo kwa lengo la kujionesha na ..

Read more

TABIA YA YEHOYAKIMU INAYOENDELEA SASA KATIKA NYAKATI HIZI ZA MWISHO.

   February 17, 2023   Biblia kwa kina, Uncategorized

Hii ni tabia ya Yehoyakimu aliyekuwa mfalme wa Yuda ambayo inaendelea sasa katika nyakati hizi za mwisho, tabia ambayo wewe ndugu mpendwa unayesoma ujumbe huu hup..

Read more

TABIA NYINGINE YA IBILISI UNAYOPASWA KUIFAHAMU.

   February 15, 2023   Siku za Mwisho, Uncategorized

ANACHANGANYA KWA PAMOJA UKWELI NA UONGO, AU ANASEMA UKWELI NA UONGO (KWA LENGO LA ..

Read more

Nini maana ya mstari huu “Nimesulubiwa pamoja na Kristo?” (Wagalatia 2:20)

   February 11, 2023   Maswali ya Biblia, Uncategorized

SWALI: Nini maana ya Nimesulubiwa pamoja na Kristo kama mtume Paulo alivyosema katika (Wagala..

Read more

KUWA NA TABIA HII YA NUHU KATIKA NYAKATI HIZI ZA UOVU ILI UPATE KUSALIMIKA NA GHADHABU YA MUNGU.

   February 11, 2023   Biblia kwa kina, Uncategorized

ipo tabia moja ya Nuhu ambayo unapaswa kuwa nayo sasa hivi katika nyakati hizi za uovu ili upate kuwa salama na ghadhabu ya Mungu inayokuja kwa sababu,..

Read more

Kwanini Gombo la chuo lililokunjuliwa mbele ya nabii Ezekiel likikuwa limejaa maombolezo, na vilio na Ole ndani yake? (Ezekieli 2:10).

   February 7, 2023   Maswali ya Biblia, Uncategorized

Hii ni kutufundisha kwamba, Mungu kamwe hajawahi mtuma mtumishi wake yo yote yule duniani kwenda kuwahubiria watu mafanikio na faraja wakati wanafanya machukizo m..

Read more

« Previous Page Next Page »

Recent Posts

  • Kuzumbua Ni nini kama inavyotumika kwenye biblia.(Walawi 6:3)
  • UNADHANI WAKATI WAKO SAHIHI WA KUMTII MUNGU BADO?
  • JE! NI KWELI KUWA MAANDIKO MATAKATIFU NI JUMLA YA VITABU 66? 
  • KAMA MWANAFUNZI WA YESU KRISTO, KUWA NA TABIA WALIYOKUWA NAYO WANAFUNZI WA YESU KRISTO KATIKA MAANDIKO.

  • JINSI LAANA YA ROHO MTAKATIFU INAVYOENDELEA MIONGONI MWA WAHUBIRI WA INJILI PASIPO KUJIJUA.

Recent Comments

  1. JEAN MARIE BITA on USITUMAINIE HEKALU LA BWANA
  2. jem on USIWE WEWE MWENYE KUASI.
  3. jem on JE! NI KWELI KUWA MAANDIKO MATAKATIFU NI JUMLA YA VITABU 66? 
  4. watakatifuwasikuzamwisho on Je! Agizo la Bwana kwa mitume wake la kufufua wafu lilikuwa ni kwa baadhi ya mitume tu?
  5. Samwel Mtimbike on Je! Agizo la Bwana kwa mitume wake la kufufua wafu lilikuwa ni kwa baadhi ya mitume tu?

Archives

  • September 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • July 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • January 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Biblia kwa kina
  • Dhambi
  • Kanisa
  • Kuzimu
  • Mafundisho ya awali ya wokovu
  • Maombi na sala
  • Maswali ya Biblia
  • Mungu
  • Mwanamke
  • Ndoa na Mahusiano
  • Siku za Mwisho
  • Uncategorized
  • Watoto

injili

torati

Mnabii

Powered by MyWiki WordPress Theme