Archives : March-2024

Nakukaribisha tujifunze Maneno ya Uzima ya Bwana Yesu… Upole ni ile hali ya kutokuonyesha uharibifu kwa mtu au kwa viumbe, na upole umeenda mbele Zaidi pale ambapo unakuwa na uwezo wa kuonyesha madhara fulani kwa mtu lakini hutumii nafasi hiyo kumdhuru.. Mfano mzuri tumtofautishe nyoka na Ngamia.. Nyoka ni kiumbe chenye udhaifu kisichokuwa na uwezo ..

Read more

Je! Biblia ni nini? Biblia ni neno lililotoholewa katika lugha ya kigiriki lenye maana ya “mkusanyiko wa vitabu vitakatifu”. Na pale kinapokuwa kimoja huitwa ‘Biblioni’ Na katika biblia hii ambayo ni vitabu vitakatifu ina jumla ya  mkusanyiko wa vitabu 66 na ndani ya vitabu hivi vimegawanyika makundi mawili ambayo ni Agano la kale na Agano ..

Read more