Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana Mungu wetu.tunaweza kusoma maandiko kutoka. Mhubiri 7:29 “Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. Mungu alipomuumba mwanadamu alimuumba katika ukamilifu wote kama kwa Adam na Hawa aliwaumba katika ukamilifu wa Furaha, Amani, Upendo na kumcha Mungu. Lakini ulifika wakati hawakuridhika ..
Archives : October-2024
Shalom mpendwa katika kristo karibu tujifunze maneno ya uzima Toka kwa Bwana wetu yesu kristo. Kama mtu atamkataa Mungu na ghafla akafa katika dhambi zake kwa kifo Cha aina yeyote iwe kuuawa, kupewa sumu n.k mtu huyo atazibeba dhambi zake mwenyewe na kwenda nazo anakostahili kwenda nazo Bali yule muuaji ataibeba dhambi ya uuaji na ..
Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Pale tunapookoka na kumpokea Roho Mtakatifu ndani yetu. Sasa Roho Mtakatifu ndani yetu anafanya kazi nyingi zaidi ndani yetu na tunaposoma maandiko yanasema ni MSAIDIZI. Maaana yake anatusaidia pale tusipoweza anasimama nafasi hiyo katika kutukamilisha. Kabla ya kwenda katika kiini ..
Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima toka kwa kristo mfalme. Hakuna andiko linalosema na kuthibitisha kuwa mbinguni ni sehemu ya kuimba tu bali Bwana wetu yesu kristo alisema anaenda kutuandalia makao kama neno linavyosema. Yohana 14:1 “Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ..
JIBU: Hakuna utofauti wowote kati ya Roho Mtakatifu na Roho Takatifu, hilo ni neno moja tu isipokuwa inategemeana kulingana na mahali neno lilipotumika, Roho Mtakatifu anapotumika ndani yetu, anapozungumza na sisi, na kutuongoza, na kututia katika kweli yote..anachukua nafasi ya mtu wa pili ndani yetu, anakuwa ni kama vile mwalimu na mwanafunzi wake, au ..
Mamajusi, ni watu walitoka masharikii ya mbali maneno ya babeli na walikuwa watu ambao wanachunguza maandiko na walikuwa na shauku ya kumjua Mungu wa Israeli zaidi. Pia hawakuwa wayahudi yaani Waisraeli, ndiyo maana maandiko yanasema walitoka masharikii ya mbali, katika biblia katika nyakati ilipozungumzia Mashariki ilikuwa Ina maanisha nchi za mbali mfano babeli au hidi ..
Kutekewa ni kukosa maneno, yaani kukosa jibu la kujibu na siyo kuchotewa maji Katika Habari hii Bwana Yesu asifiwe alikuwa anazungumzia yule mtu aliyeingia katika harusi kisha akakutwa hana vazi la arusi ndipo akatekewa Mathayo 22:8 “Kisha akawaambia watumwa wake, Arusi i tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili. 9 Basi enendeni hata njia panda za barabara, ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Swali: kwa nini Raheli aliiba miungu ya baba yake? Je alitaka kwenda kuiabudu na wakati ni makosa mbele za Mungu. Kabla ya kwenda moja kwa moja kulijibu swali hili tusome kwa ufupi kifungu hiki kidogo. Mwanzo 31:18 “Akachukua wanyama wake wote, na mali yake yote aliyokuwa ameyapata, ..
Ili tuelewe vizuri, kwanza tufahamu kuwa Mungu anaweza kuzungumza na mtu moja kwa moja, au akatumia malaika wake kumpa mtu ujumbe au akamtumia mwanadamu…na pia wakati mwingine hutumia hata wanyama na vitu, kwa mfano kama wewe ni msomaji wa biblia utakumbuka ile habari ya Balaamu, wakati alikuwa anaenda kuwalaani wana wa Israeli, Mungu alimtokea ..