Archives : May-2025

  USIVAE MAVAZI YA KIGENI. Sefania 1:8 “Na itakuwa, katika siku ile ya dhabihu ya BWANA, nitawaadhibu wakuu, na wana wa mfalme, na watu wote WALIOVA MAVAZI YA KIGENI.” Katika ukiristo mavazi ya kigeni ni yapi? Neno la Mungu linasema.. Mathayo12:33 “Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya ..

Read more

Na uzima wa milele ndio huu. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. ” Huwezi kufurahia maisha ya wokovu (kuona furaha ya wokovu usipomfahamu Kristo kwa upana zaidi) utaona wokovu wako ni kawaida tu nk” Ili uweze kupiga hatua kila siku ya kiroho ni lazima ujifunze kuyatafakari maandiko. Unaweza ..

Read more

Fahamu siri iliyopo katika Neno la Mungu. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Sehemu ya pili 02(Mwisho wa somo hili). Katika somo lililopita tulijifunza tukaona Neno la Mungu ni nini? Tuliona kuwa Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe, ni uzima,ndio lililoumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Lakini leo ..

Read more