Archives : August-2025

USIRUHUSU CHAWA WAINGIE NDANI YAKO Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe milele daima. Karibu tujifunze biblia. Kabla hatujaangalia chawa wanawakilisha nini katika roho, hebu kwanza tutazame chawa wa kawaida na tabia zao kwa ufupi. Kama wengi tunavyojua chawa ni mdudu ambaye hukaa au kuishi kwenye mwili, nywele au nguo za kiumbe mchafu. Chawa hutokana ..

Read more

TUSILEWE KWA MVINYO BALI TUJAZWE ROHO Neno la Mungu linasema katika.. Waefeso 5:18 “Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;“ Katika biblia, mtu ambaye amejazwa Roho Mtakatifu anaonekana kama mlevi, kwasababu ya tabia zake kufanana na tabia za walevi. Hebu tusome maandiko yafuatayo ili tulithibitishe hili. Matendo ya Mitume 2:1 Hata ilipotimia ..

Read more

Je umeushinda ulimwengu? Yohana 16:31 “Yesu akawajibu, Je! Mnasadiki sasa? [32]Tazama, saa yaja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; walakini mimi si peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami. [33]Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU.” ..

Read more

Fahamu wajibu wako kama kuhani wa Mungu Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Katika agano jipya kila mtu amefanyika kuwa ni kuhani, na Yesu Kristo ndio kuhani wetu wetu mkuu kama jinsi maandiko yanavyo sema. 1 Petro 2:9-10 “Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa ..

Read more

USIKUBALI KUPOTEZEWA MUDA Kati ya jambo ambalo unapaswa kuzingatia sana katika safari yako ya wokovu na hata katika maisha haya ni kitu kinachoitwa MUDA, ukweli ni kwamba muda ni kitu pekee ambacho kina thamani zaidi ya kila kitu..hapa duniani. Hakuna mtu aliyewahi kununua muda hata sekunde moja, haijalishi atakusanya fedha kutoka kwenye mabengi yote duniani, ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mkuu wa uzima Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuoka ni Mwanzo wa kuwa na mahusiano mazuri na Mungu, lakini jambo la kusikitisha watu wengi wanaishia kuokoka peke yake tu. Na wanashindwa kuwa na mahusiano ya karibu na Bwana Yesu. “Shetani haogopi wokovu ulionao, Shetani anaogopa mahusiano yako wewe na ..

Read more

NA WA KWANZA ATAKUWA WA MWISHO Shalom, nakusalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. Karibu tujifunze biblia maneno ya uzima. Biblia inatuambia “Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake,…” (Mhubiri 7:8), hii ni kweli kabisa, mara nyingi watu ambao wanaanza vizuri kufanya jambo Fulani hawamalizi vizuri bali ni wengine wanakuja kutokea mwishoni na kufanya vizuri, ..

Read more

Usikubali kuvuliwa Mavazi na Ibilisi Shalom mtu wa Mungu.. jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe sana. Karibu tuongeze ufahamu katika Elimu ya ufalme wa Mungu. Maandiko yanasema katika.. Wakorintho 2: 9 ”Maana naliandika kwa sababu hii pia, ili nipate bayana kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote. [11] Shetani asije akapata kutushinda; KWA MAANA ..

Read more

Usichukie Kuambiwa ukweli Upo usemi unaosema ”ukweli unauma” hilo ni kweli kabisa, ni watu wachache sana ambao wanaweza kupokea ukweli kama ilivyo hata kama unawakosoa, wengi huwa hawataki kuambiwa ukweli wa mienendo yao mibovu, tabia zao mbaya, udhaifu wao, kasoro zao.. na hali zao za kiroho. Katika biblia tunasoma mtu mmoja ambaye aliambiwa ukweli wa ..

Read more

Tafuta kwa bidii kuwa na nguvu za rohoni. Shalom,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ili Mkristo aweze kuleta mabadiliko kwake yeye,kwa jamii inayomzunguka na katika ufalme wa Mungu katika mambo ya Muhimu sana anatakiwa kuwa nayo basi ni kuwa na nguvu nyingi za rohoni. Nguvu za rohoni ..

Read more