ADUI AKIONA AMESHINDWA ANAKUJA KWA HILA. Si kila wakati ibilisi atakuja kama mpingamizi, au mharibifu, hapana, lengo lake litakuwa ni hilo ndio, lakini akijua hawezi tena kuja moja kwa moja, atakuja kwa ujanja wa kujionyesha ameshindwa wewe una nguvu nyingi, atajiweka chini yako, ajifanye kuwa yeye siku zote ni mnyonge tu.. lakini kumbe ameshakuweza. Ndicho ..
Archives : October-2025
SILAHA MADHUBUTI ANAYOITUMIA SHETANI KUWAANGUSHA WAKRISTO. Kama wewe ni mkristo halisi, yaani namaanisha umeokoka kweli kweli kwa kutubu dhambi zote na kuacha ulimwengu kwa ufupi umezaliwa mara ya pili, Fahamu kuwa unayo maadui wengi wanakuwinda usiku na mchana, na maadui hao sio wanadamu wenzako, bali ni shetani na jeshi lake. Usidhani kuwa shetani anafurahia wewe ..