Jina la Bwana Yesu Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana libarikiwe daima. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Siku ya leo kwa Neema za Mungu tutazidi kuongeza maarifa ya Neno la Mungu tusije tukachukuliwa na udanganyifu wa yule mwovu katika siku hizi za mwisho ambayo udanganyifu umekuwa mwingi sana. Ukisoma kile kitabu cha ufunuo sura ..
Author : magdalena kessy
Shalom, karibu tuongeze maarifa ya kumjua Mungu wetu, Na leo kwa Neema za Bwana tutaangazia jinsi gani tunaweza kuwabariki watoto wetu, na kujua ni kanuni ipi tutaitumia ili tuzifikishe kwa Watoto, tofauti na inavyodhaniwa kuwa kumtamkia baraka kwa vinywa vyetu inatosha, ni sawa kufanya hivyo lakini leo tutaenda mbali zaidi, Wewe kama mzazi au mlezi ..
Shalom, Jina la Bwana Yesu lisifiwe milele Kwa Neema za Bwana tutaangazia ni sifa gani alizonazo mtu ambaye amekombolewa kwenye mikono ya adui shetani, na kwa kujifunza hayo basi utaongeza maarifa zaidi.. Maandiko yanasema, Marko 5:1-5,8-9,13-16 [1]Wakafika ng’ambo ya bahari mpaka nchi ya Wagerasi. [2]Na alipokwisha kushuka chomboni, mara alikutana na mtu, ambaye ametoka makaburini, ..
Karibu tujifunze Neno la Mungu, Tunapozungumzia nafsi tunamzungumzia mtu mwenyewe, kwahiyo badala ya kusema “Tambua thamani ya nafsi yako” tunaweza tukasema TAMBUA THAMANI YAKO!. Watu wengi leo wanatoa maisha yao bure kwa mambo yasiyo na maana, wanauza nafsi zao bure kwa mambo ya ulimwengu huu, kwasababu ya tamaa za miili yao, tamaa za fedha, mali ..
Shalom mtu wa Mungu.Jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Ayabu 1:6 “Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao. 7 BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, NATOKA KATIKA KUZUNGUKA-ZUNGUKA DUNIANI, NA KATIKA KUTEMBEA HUKU NA ..
Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu, ambalo ndilo Uzima wetu, Wewe kama mwamini, umeokoka kwa kumpokea Bwana Yesu maishani mwako, una kila sababu za kuhakikishia usalama wa wokovu wako, isifike mahali ukaridhika tu kisa umemkiri Yesu kwa kinywa chako, au kwasababu umesamehewa dhambi zako, hapana bali unatakiwa ujae maarifa zaidi ya hapo, kwa kuwa wokovu ..
Utukufu kwa Bwana Wetu Yesu Kristo,aliyetupa neema ya kutafakari Maneno yake ya uzima.. Yamkini umekuwa ukijiuliza sana kwanini maandiko yaseme damu ya Yesu Kristo inanena mema kuliko ile ya habili, na leo kwa Neema za Bwana tutaangazia.. Kama ni msomaji wa maandiko utakuwa unaelewa habari ya kaini na Ndugu yake habili, jinsi dhambi ya wivu ..
Karibu tujifunze Maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Pengine ulishawahi kujiuliza hili jambo na usipate majibu kamili, au lilishawahi kukuletea sintofahamu ndani yako, ni kuhusiana na damu ya Yesu na jina la Yesu,zidi kusoma nakala hii ikupe uelewa zaidi wa kimaandiko.. Ni sawa tuchukulie uhalisia wa maisha ya kawaida tu, hakuna mtu asiyekuwa ..
Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo lizidi kutukuzwa milele, karibu tujifunze Neno la Mungu, Hili ni jambo la muhimu na kuu kulijua sana wewe ambaye ni mwanadamu na unavuta pumzi ambayo hatutoi malipo yoyote au kuigharamia kwa chochote, Jambo la kumfahamu Yesu Kristo ni la umuhimu kwetu kwasababu yeye ndiye chanzo cha ukombozi wetu, kuishi ..
Ni siku nyingine Bwana ametupa tuyatafakari Maneno yake, karibu.. JIBU Ukisoma maandiko kwenye kitabu cha Isaya,utagundua unabii alioutoa nabii isaya kuhusu jina la mkombozi atakayekuja ulimwengu lilikuwa ni Imanueli (Isaya 7:14) kuonyesha kwamba ni lazima litimie hilo, kwasababu maandiko hayawezi kusema uongo.. Lakini tuendelee kusoma zaidi ili tuzidi kujifunza kama wanafunzi wanaotamani kupata uelewa.. Tusome ..