Author : magdalena kessy

  Shalom, karibu tujifunze neno la Mungu ambalo ndilo mwanga wa njia zetu na taa ya miguu yetu (Zaburi 119:105) Ni muhimu sana kutoa sadaka, kwa kulitambua hilo shetani anatumia njia tofauti tofauti ili kuzuia watu wasitoe sadaka maana anatambua nguvu iliyo ndani ya sadaka.. Njia mojawapo anayotumia ni kuinua watu ambao wanalitumia vibaya neno ..

Read more

  Bwana wetu Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu Apewe sifa daima, karibu katika darasa la maarifa ya kiMungu tujifunze biblia..Neno la Mungu wetu ambalo ndio mwanga wa njia zetu na taa ya miguu yetu  Zab 119:105.. Siku ya leo tutaenda kujifunza kwa ufupi kuhusu kutoa Zaka au fungu la kumi, Katika biblia Zaka ni sehemu ..

Read more

  SWALI.. Kwa nini Mungu aliikataa sadaka ya mazao kutoka kwa kaini na akaikubali sadaka ya wanyama kutoka kwa Habili? Je wanyama ni bora kuliko mazao mbele za Mungu? JIBU..Tusome Mwanzo 4:4 “Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. Bwana akamtakabali Habili na sadaka yake; 5 bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. ..

Read more

  SWALI…Kwa nini tunatoa sadaka? Kuna muhimu gani wa kutoa sadaka? Je ni dhambi usipotoa sadaka? JIBU..Kutoa ni wajibu wa kila mtu aliyemwamini Kristo iwe ni kutoa sadaka au kitu kingine chochote. Mtu asiyetoa bado hajabadilishwa moyo wake na maisha yake yapo mbali na Mungu.   Sisi tunatoa sadaka kwa sababu hata tulivyonavyo tumepewa na ..

Read more

  Bwana Yesu Kristo asifiwe, karibu tujifunze maandiko Matakatifu ili tuzidi kumjua Mungu wetu katika kila namna.. ingali bado tunapumua. Siku ya leo tutaenda kujifunza umuhimu wa kumtolea Mungu sadaka isiyo na kasoro yoyote.. Upo umuhimu mkubwa sana wa kumtolea Mungu vitu vyenye hadhi ya hali ya juu ambavyo vinamgharimu mtu hadi kuvitoa. Tusitoe tu ..

Read more

  Shalom: Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa Uzima libarikiwe; Karibu katika darasa fupi tujifunze baadhi ya mambo ambayo yanapuuziwa na kuchukuliwa kirahisi na Watu wengi ila ni mambo makuu sana katika kukuza Imani..japokuwa yanaonekana ni madogo. Ipo tofauti kati ya sadaka na msaada. Wakati ambao unajitoa kuwasaidia wasiojiweza hapo unatoa msaada, na Mungu ..

Read more

  SWALI, Bwana Yesu alimaanisha nini aliposema “Utoapo sadaka mkono wako wa kulia usijue ufanyalo mkono wako wa kushoto” JIBU, Hebu tusome kwanza hiyo habari katika kitabu cha Mathayo 6:1-4 Mathayo 6:1“ Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. ..

Read more

  Jina kuu la Bwana wetu Yesu KRISTO Mwokozi wa ulimwengu litukuzwe, karibu tujifunze Neno la Mungu. Mji wa Serepta ni mji mdogo uliopatikana katika Taifa la Lebanoni, nje kidogo mwa nchi ya Israeli, Nyakati za biblia kipindi ambacho mvua ilizuiliwa miaka mitatu na nusu Kwa kwa Neno la Bwana kupitia mtumishi wake Eliya, Bwana ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze biblia.. Tusome andiko.. [10]Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya. JIBU Ili tujue sababu za Yesu kumwambia wanafunzi wake maneno hayo anza kusoma mistari ya juu utaona walimuuliza swali kuhusu imani, maana walitaka awaongezee imani… Yesu aliwajibu kwa kuwaambia kama wangekuwa ..

Read more

JIBU 1,Wokovu Hakuna namna utamshinda shetani ukiwa nje ya wokovu, kwasababu hata Wana wa Skewa hawakuweza kutoa pepo kwa jina la Yesu kwa sababu hata hao pepo waliwambia Yesu wanamjua na Paulo ,je ninyi ni akina nani?   Matendo 19:13  Baadhi ya Wayahudi wenye kutanga-tanga, nao ni wapunga pepo, wakajaribu kutaja jina la Bwana Yesu ..

Read more