Author : magdalena kessy

JIBU.. Katika maandiko tunaona Yohana mbatizaji alibatiza kwa maji lakini alishuhudia kuwa Bwana Yesu atakuja kubatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto, Tuangalie sifa kuu tatu za moto.. Sifa ya kwanza ni :kuunguza na kuteketeza vitu visivyofaa kama vile takataka. Hapa ni pale Mungu anapozichoma dhambi zote zilizo ndani ya mtu na ndipo mtu anafikia ..

Read more

Kuna dhambi ambayo huleta mauti, mkristo akiifanya dhambi hiyo wakati ambao bado ana neema ya Mungu atakufa lakini siku ya mwisho atapata wokovu. Mfano Musa alipomkosea Mungu alisamehewa lakini hakuondolewa adhabu ya kifo…Mungu alimwambia kutokana na lile kosa hataiona nchi ya ahadi na hakika atakufa lakini alipokufa aliungana na watakatifu na kuna wakati alitokea na ..

Read more

Karibu tujifunze biblia.. Yakobo 3:1“Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.” Ukipeleka katika lugha ya kiingereza ” Not many of you should become teachers ..” au unaweza kusema ” pasiwepo na waalimu wengi kati yenu” Roho Mtakatifu anamvuvia yakobo kuyasema haya yanayolitafuna sana kanisa, Hii huonekana pindi Kila mtu anapokuwa ..

Read more

Jina la Bwana Yesu Kristo Lihimidiwe. Karibu tujifunze maneno ya Uzima… Maandiko yanasema katika.. Warumi 12:3” Kwa maana kwa neema niliyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu ASINIE MAKUU KUPITA ILIVYOMPASA KUNIA; bali awe na nia ya kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani.” SWALI linakuja, JE! Huko Kunia makuu ndio kufanyaje? Warumi 12:4-84″ ..

Read more

Shalom karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. Warumi 13:14Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata KUWASHA TAMAA ZAKE.” Kuuangalia mwili kama ilivyoandikwa hapo juu inamaanisha kuujali au kuutii sana mwili kupitiliza, na hatimae kuziwasha tamaa za mwili…Mtu anapofikia hatua hii huwa ni teja wa mwili wake na huutii kwa Kila jambo Lasivyo mtu huyo ..

Read more

Karibu tuyatafakari Maneno ya Mungu.. Luka 14:26” Kama mtu akija kwangu naye HAMCHUKII baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake waume na wake; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. Bwana alipoyazungumza Maneno hayo,hakuwa na maana kumdharau au kuwa na uadui, hapana, bali alimaanisha yule apendaye ..

Read more

Jina la Bwana libarikiwe, karibu tujifunze. Kipindi Musa anamuuliza Mungu kuhusu jina lake alitegemea kutajiwa jina fulani kama vile baali, Ashtoreth n.kZaidi tunaona Mungu anamjibu kwa jumla akisema, wakikuuliza jina langu waambie Mimi ni ” Niko ambaye Niko” Kutoka 3:14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu. Ukiangalia ..

Read more

Shalom, Karibu tuyatafakari Maneno yenye uzima.. Biblia inasema tumejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, na leo tutajifunza ni msingi gani tunaotakiwa kuufahamu zaidi.. Waefeso 2:20 [20]Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni. Ni kweli kupitia msingi huu wa mitume na manabii ambao ni ..

Read more

Bwana Yesu Kristo Asifiwe. Nikukaribishe tujifunze maneno ya Uzima JIBU: Hosea 12:7“NI MCHUUZI, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu .” Mchuuzi ni mtu anayejishughulisha na ununuaji wa bidhaa na kuzisafirisha kuziuza sehemu nyingine hususani nje ya nchi yake. Unaweza kupitia tena, utalipata katika Wimbo ulio Bora 3:6, Ezekiel 27:3, 27:20-22 pamoja na Isaya ..

Read more

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. Mahali popote unapoona Mungu anasema ameliweka jina lake anamaanisha sehemu hiyo au kitu hicho ni ” kiteule chake yaani Amekichagua ” Au amekiweka wakfu kwa ajili ya kumwabudu, Kumtangaza, kumfanyia Ibada n.k si vinginevyo! Ni kitu,mtu au mahali popote ambapo pamewekwa wakfu kwa Mungu au kupakwa mafuta ya Utumishi, basi ..

Read more