Jina kuu la Bwana wetu Yesu KRISTO Mwokozi wa ulimwengu litukuzwe, karibu tujifunze Neno la Mungu. Mji wa Serepta ni mji mdogo uliopatikana katika Taifa la Lebanoni, nje kidogo mwa nchi ya Israeli, Nyakati za biblia kipindi ambacho mvua ilizuiliwa miaka mitatu na nusu Kwa kwa Neno la Bwana kupitia mtumishi wake Eliya, Bwana ..
Author : magdalena kessy
Shalom, karibu tujifunze biblia.. Tusome andiko.. [10]Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya. JIBU Ili tujue sababu za Yesu kumwambia wanafunzi wake maneno hayo anza kusoma mistari ya juu utaona walimuuliza swali kuhusu imani, maana walitaka awaongezee imani… Yesu aliwajibu kwa kuwaambia kama wangekuwa ..
JIBU 1,Wokovu Hakuna namna utamshinda shetani ukiwa nje ya wokovu, kwasababu hata Wana wa Skewa hawakuweza kutoa pepo kwa jina la Yesu kwa sababu hata hao pepo waliwambia Yesu wanamjua na Paulo ,je ninyi ni akina nani? Matendo 19:13 Baadhi ya Wayahudi wenye kutanga-tanga, nao ni wapunga pepo, wakajaribu kutaja jina la Bwana Yesu ..
JIBU, tusome… 1 Timotheo 1:8-10 [8]Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali; [9]akilifahamu neno hili, ya kuwa sheria haimhusu mtu wa haki, bali waasi, na wasio wataratibu, na makafiri, na wenye dhambi, na wanajisi, na wasiomcha Mungu, na wapigao baba zao, na wapigao mama zao, na wauaji, [10]na ..
Shalom, Biblia inasema na tumfahamu sana Yesu Kristo hata tufikie kimo cha ukamilifu (Waefeso 4:13), Imekuwa ikiaminika kwa asilimia kubwa kuwa mtu aliyeshiba siku ni yule aliyeishi miaka mingi, au mwenye miaka mingi akiwa hai, jambo ambalo halina ukweli kulingana na biblia.. Kama ni msomaji wa maandiko utagundua hilo siyo jambo jipya, kwasababu kuanzia agano ..
JIBU, tusome.. 14]Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza. Mwandishi anaanza kwa kumsifia Mungu wetu kwamba ni tabia yake siku zote kuwaongoza watu wake. Anamaanisha kwamba Mungu hatamuacha mtu bali atamuongoza siku zote katika njia nzuri iendayo uzimani, njia nzuri ya kupigana vita, yenye kujenga na hata kupanda. Ndivyo ..
JIBU.. Ikiwa mtu amelikiri jina la Yesu na kuamua kumfuata Kristo, ndani yake hutoka chemichemi ya maji yaliyo hai (Mithali 4:23)na Yesu ndiye hutoa maji hayo ambayo hayakauki… Maji hufanya kazi zifuatazo1.Kuondoa kiu2.Kumeesha3.Kuondoa uchafu4.Kugharikisha ikiwa yatazidi Hata katika moyo wa mtu maji hufanya kazi hizohizo, yanaondoa kiu ya kufanya mambo mauovu (Ufunuo 21:6, Yohana 4:14), ..
Alani ni mfuko unaovaliwa kiunoni na askari kwa ajili ya kuhifadhi upanga hasa wakati wa vita…. Neno hili tunaliona katika vifungu vifuatavyo…. 1Samweli 17: 51 “Ndipo Daudi akapiga mbio, akasimama juu ya Mfilisti, akautwaa upanga wake, akaufuta alani mwake, akamwua, akamkata kichwa kwa upanga huo. Nao Wafilisti walipoona ya kuwa shujaa wao amekufa, wakakimbia” 1Nyakati ..
Neno Tirshatha katika biblia tunalipata katika vufungu vifuatavyo.. Ezra 2:63 Na huyo Tirshatha akawaambia wasile katika vitu vitakatifu sana ,hata atakaposimama kuhani mwenye urimu na Thumimu. Nehemia 10: 1 Basi hawa ndio waliotia muhuri; Nehemia, ndiye Tirshatha, mwana wa Hakalia, na Sedekia; Hili ni neno lenye asili ya kiajemi, maana yake ni mtawala aliyeteuliwa kuwa ..
Fatilia andiko hili.. Ayubu 22:12 “Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu! 13 Nawe wasema, Mungu anajua nini? Je! Aweza kuamua kati ya giza kuu? 14 Mawingu mazito ni kifuniko chake, hata asione; Naye yuatembea juu ya KUBA YA MBINGU. 15 Je! Utaiandama njia ya zamani Waliyoikanyaga watu waovu ..