Author : Paul Elias

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo. Iko hatari kubwa sana katika nyakati hizi za Mwisho na kama tusipokuwa makini tutajikuta tunafanya kazi ya kuchosha. Na kwasababu ya upofu tukaona ni kawaida tu. Wakristo wengi sana wanavitwaa viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa vya kahaba(kuviungamanisha ..

Read more

Bwana yesu apewe sifa mwana wa MunguTushukuru Sana Kwa neema ya kuiona Leo maana si Kwa nguvu wala Kwa uweza Bali Kwa huruma,fadhili na mapenzi yake basi tuna paswa kujifunza neno lake kila tunapo muda na wakati maana lipo kusudi la Mungu kusoma huu ujumbe. Waefeso 5:15-18 biblia inatuambia hivi.. “15 Basi angalieni sana jinsi ..

Read more

Koikoi ni ndege wa kubwaWenye miguu mirefu na mdomo mrefu na mwembamba Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Sasa turudi kwenye maandiko tuone yanasemje juu ya hawa ndege na ni upi ufunuo na hekima tunaweza kuipata hapa kama watoto wa Mungu na ikatusaidia katika maisha Yetu ya wokovu. Yeremia 8:7 “Naam, koikoi angani ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tujifunze maneno ya uzima?. Umewahi kujiuliza hili jambo na kutafakari, kauli hii aliyoizungumza Bwana Yesu? huenda huwa tunaiosoma tu mara kwa mara pasipo kuitafakari kwa kina…Leo tutakwenda kutazama kwa undani ni kwa namna gani watendakazi ni wachache. Mathayo 9:36-38” Na alipowaona makutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kuna jambo kubwa sana ambalo Mungu alikuwa akiwafundisha wana wa Israeli nyuma ya hili andiko,Na kwa neema za Bwana tutakwenda kuona na sisi kujifunza pia. kumbukumbu 22:6-7 6“Kiota cha ndege kikitukia kuwa mbele yako njiani, katika mti wo wote, au ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu  tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Ukisoma vyema hapo utaona maandiko yameorodhesha mambo matatu hapo!,Sasa ili tunafahamu ni yapi hebu tusome kwa kuanzia juu kidogo. Wagalatia 2:3 “Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa. 4  BALI KWA AJILI YA NDUGU ZA UONGO ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo alie Bwana na mwokozi wetu. Karibu tuyatafakari maneno ya mwokozi wetu. Wakristo wengi tunapenda kusikia Mungu akituahidia ahadi mbali mbali katika maisha yetu, na tunatamani tupokee tu bila kutaka kujiandaa ama kukubaliana na matengenezo/gharama za ahadi hiyo. Kama vile mzazi anavyomuahidia mtoto wake kumfungulia biashara Fulani. Kwa ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tofauti na watu wengi tunavyomfikiria shetani kwamba huenda huwa anakurupuka tu anapotaka kumuangusha mwamini katika dhambi na kumrudisha nyumba huwa tunadhani kuwa ni kitendo cha ghafula tu hafanyi maandalizi yoyote anakurupuka tu na kufanya anachotaka lakini ndugu si ..

Read more

Isaya 59:5[5]Huangua mayai ya fira, na kusuka wavu wa buibui; yeye alaye mayai yao hufa, na hilo livunjwalo hutoka nyoka. Mstari huu humaanisha asili ya watu wabaya. Anasema huangua mayai ya fira. Fira Kwa Kiswahili kingine ni swila au Kwa lugha inayo tambulika na wengi ni kobra ni aina ya jamii ya nyoka wenywe sumu ..

Read more

Ili tuweze kuelewa vizuri Habari hii hatuna budi kusoma kuanzia juu kidogo. Tukisoma hiyo mistari ya hapo juu tutapata kuelewa vizuri. Mathayo 15: 21 “Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. 22 Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na ..

Read more