Author : Rehema Jonathan

Bwana Yesu asifiwe, karibu tujifunze neno la Mungu Yesu Kristo alijulikana kwa sifa nyingi sana, mfano anajulikana kama simba wa yuda, maji ya uzima, mwamba imara nk… Hizi ndiyo tabia ambazo zilimtambulisha Yesu Kristo Likini Leo tutajifunza sifa yake moja, Yesu Kristo kwanini aitwe mwana-kondoo na si mwana- mbuzi au mwana mbuzi au mwana- beberu. ..

Read more

Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Tusome maandiko ili tupate maana iliyo bora, rahisi na yenye kueleweka. Mithali 17:16 “Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?”. Hili andiko linamaanisha kuwa ni ile Hali ya mtu kuwa na uhitaji wa ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe Karibu tuyatafari maneno ya uzima Chakula kinachozungumziwa hapa ambacho kimetolewa sadaka kwa sanamu ni chakula ambacho kimepewa au kimetolewa maagizo ya kishetani ili kitumike mfano katika mambo ya kimila au kwa waganga na wachawi. Ndiyo hapo utakuta kabila Fulani wanafanya tabiko, kisha wanatumia mnyama yeyote labda mbuzi, ng’ombe, labda kwa ajili ya ..

Read more

Jina la Mwokozi wetu Yesu lisifiwe, Karibu the jifunze neno lake lililobeba uzima ndani yake… Swali: Je huu mti wa mvinje ulikuwa ni mti gani? Jibu: Kulingana na maandiko mti huu tunausoma katika habari ya Nuhu baada ya Mungu kumpa maagizo atengeneze safina kwa kutumia mti huu wa mvinje Mwanzo 6:13-14 [13]Mungu akamwambia Nuhu, Mwisho ..

Read more

Nakusalimu kupitia Jina la Yesu, ndugu Karibu katika kipindi kingine ili tuweze kutafakari maneno ya uzima…   SWALI: Je kutokana ni kile alichokifanya sulemani, kufanya kosa la kuwajengea miungu madhabahu, baada ya kushawishiwa na wake zake,.sasa kupitia jambo hili sulemani hakusamahewa kabisa hiyo dhambi 1 Wafalme 11:4-9 [4]Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza ..

Read more

Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Kulingana na neno la Bwana kutoka katika maandiko haya Mathayo 12:24 [24]Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo. Hivyo maana ya beelzebuli ni mkuu wa Pepo pia tujifunze zaidi katika neno hili la Mungu ili tupate maana ..

Read more

Karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mwanzo 4: 16 “Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana, akakaa katika nchi ya Nodi, mbele ya Edeni. 17 Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe”. Henoko hakuandikwa kuwa ni mtoto wa kaini na hakuondoka ..

Read more

Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe, nakukaribisha katika wakati mwingine tena wa kujifunza neno la Mungu. Swali: Je haya maneno mawili Kushuhudia na Kuhubiri yapo na utofauti Jibu: Ndiyo kuna tofauti katika maneno haya japo yanategemeana, tuangalie maana ya kushuhudia ni nini, kushuhudia limetokana na neno shuhuda, mfano mtu aone jinsi mtoto mdogo alivyo ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe, nakusalimu kwa jina la Mwokozi Yesu, karibu katika kujifunza Jibu: Hakuna kosa lolote walilolifanya wana wa Israeli, lililowafanya wakae utumwani miaka hiyo mia nne, lakini lipo jambo ambalo tutajifunza je ni kitu gani kilichopeleka wakae utumwani miaka mingi huko misri Mambo yaliyofanya Mungu awaache wana wa Israeli utumwani miaka 400, yalikuwa ni ..

Read more

Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Turejee maandiko haya Mwanzo 24:67 “Isaka akamwingiza Rebeka katika hema ya mama yake, Sara, akamtwaa Rebeka, akawa mkewe, akampenda; Isaka akafarijika kwa ajili ya kufa kwa mamake”. Isaka alikuwa ni mwana pekee kwa mama yake, kwahiyo  hili andiko halikumaanisha kuwa  isaka alipenda na ..

Read more