Author : Rehema Jonathan

Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana Mungu wetu.tunaweza kusoma maandiko kutoka. Mhubiri 7:29 “Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. Mungu alipomuumba mwanadamu alimuumba katika ukamilifu wote kama kwa Adam na Hawa aliwaumba katika ukamilifu wa Furaha, Amani, Upendo na kumcha Mungu. Lakini ulifika wakati hawakuridhika ..

Read more

Shalom mpendwa katika kristo karibu tujifunze maneno ya uzima Toka kwa Bwana wetu yesu kristo. Kama mtu atamkataa Mungu na ghafla akafa katika dhambi zake kwa kifo Cha aina yeyote iwe kuuawa, kupewa sumu n.k mtu huyo atazibeba dhambi zake mwenyewe na kwenda nazo anakostahili kwenda nazo Bali yule muuaji ataibeba dhambi ya uuaji na ..

Read more

Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima toka kwa kristo mfalme. Hakuna andiko linalosema na kuthibitisha kuwa mbinguni ni sehemu ya kuimba tu bali Bwana wetu yesu kristo alisema anaenda kutuandalia makao kama neno linavyosema. Yohana 14:1 “Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ..

Read more

Mamajusi, ni watu walitoka masharikii ya mbali maneno ya babeli na walikuwa watu ambao wanachunguza maandiko na walikuwa na shauku ya kumjua Mungu wa Israeli zaidi. Pia hawakuwa wayahudi yaani Waisraeli, ndiyo maana maandiko yanasema walitoka masharikii ya mbali, katika biblia katika nyakati ilipozungumzia Mashariki ilikuwa Ina maanisha nchi za mbali mfano babeli au hidi ..

Read more

Kutekewa ni kukosa maneno, yaani kukosa jibu la kujibu na siyo kuchotewa maji Katika Habari hii Bwana Yesu asifiwe alikuwa anazungumzia yule mtu aliyeingia katika harusi kisha akakutwa hana vazi la arusi ndipo akatekewa Mathayo 22:8 “Kisha akawaambia watumwa wake, Arusi i tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili. 9 Basi enendeni hata njia panda za barabara, ..

Read more

Karibu tujifunze maneno ya uzima. DHAMBI,  Ni yale mambo yaliyokuwa yanafanyika kinyume na torati au sheria ya Mungu. Ikimaanisha kuwa mtu yeyote aliyekuwa ameivunja hiyo sheria ni sawa na kutenda dhambi au ameiasi Sheria. Ilijulikana kuwa mtu huyo kabla hajaiasi Sheria alikuwa anajua kabisa kuwa jambo Hilo lilisha hakikishwa na kuonekana kuwa ni kosa na ..

Read more

Karibu mpendwa katika Bwana tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu yesu kristo. Shetani ni nani? shetani ni malaika aliyetupwa kutoka mbinguni Hadi duniani baada ya kumuasi Bwana Mungu. Japo! duniani Kuna udanganyifu mkubwa ambapo watu wanadhani kuwa shetani anazo pembe za kutisha, anaishi maeneo ya makaburini na wengine hudhania ya kuwa shetani ni ..

Read more

Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu yesu kristo. Jibu ni kwamba inategemea na hiyo ibada inayofanywa ina maudhui gani ikiwa hiyo Ibada inalenga kumuombea mfu hiyo ni dhambi mbele za Mungu lakini ikiwa na lengo la kuwafundisha watu, kuonya,kushukuru na kuwajenga watu waishi maisha ya kumpendeza Mungu hiyo ni njema ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe karibu katika wasaa wa kujifunza neno la Mungu Malaika hawana jinsia yeyote, japo kuna baadhi ya mafundisho inasemekana kuwa kuna malaika wa kike lakini jambo hili hakuna ukweli wowote, hata katika maandiko hakuna uthibitisho wa jambo hili Lakini jambo hili la jinsia lilianza kwa wazazi wetu adam na hawa, hapa ndipo iljulikana ..

Read more

Mhubiri 11:1 [1]Tupa chakula chako usoni pa maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi. Mwandishi wa kitabu hiki,  alitumia neno tupa na si tunza au hifadhi lakini tunaona anasema tupa chakula chako usoni pa maji, hakuishia kusema tupa chakula chako lakini anaendelea kwa kusema hicho chakula akitupe baharini, kama tunavyojua kitu chochote kama kikitupwa kwenye ..

Read more