Category : Biblia kwa kina

Kwanini ni lazima kuzaliwa mara ya pili? Yohana 3:3 “Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Hapo maandiko yanatupa jibu la moja kwa moja kwamba mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu. Ndio maana ni lazima kuzaliwa mara ya pili. Sasa, kabla hatujaona ..

Read more

Je umetambua kuwa we ni shujaa wa Bwana? Kama wewe ni msomaji mzuri wa biblia, utakuwa unafahamu ile habari ya Gideoni alipoitwa na Bwana, biblia inatuonyesha kuwa Gideoni alikuwa ni shujaa lakini hakujitambua mpaka alipotokewa na malaika wa Mungu na kujulishwa kuwa we ni shujaa. Hebu turejee biblia… Waamuzi 6:11-16 Malaika wa BWANA akaenda akaketi ..

Read more

Fahamu Injili inayopatikana katika mimea chungu. Je unafahamu kuwa kila kitu unachokiona kinahubiri injili ya Yesu Kristo? Shalom, jina kuu tukufu la Bwana Yesu libarikiwe milele na milele. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Bwana wetu Yesu alitoa mifano mingi tofauti tofauti ya vitu vya hapa duniani kuelezea/kuhubiri Injili ya ufalme wa Mungu, ukisoma biblia utaona ..

Read more

  Je unafahamu mtego wa manabii wa uongo. Manabii wa uongo wanafanana na BUIBUI. Je unafahamu njia anayoitumia buibui kujipatia chakula? Buibui ni mdudu ambaye huwa anatabia ya kujitengenezea utandu (mtego) kwa lengo la kunasa wadudu wengine wadogo wadogo kama nzi kwa ajili ya chakula. Hivyo mdudu asiyekuwa na nguvu ya kupita kwenye huo mtego..huwa ..

Read more

Je mzigo wako umeondolewa begani mwako? Shalom jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu. Biblia inasema katika.. Isaya 10:27 “Tena itakuwa katika siku hiyo mzigo wake utaondoka begani mwako, na nira yake shingoni mwako, nayo nira itaharibiwa, KWA SABABU YA KUTIWA MAFUTA”. Hayo ni maneno ya faraja ambayo Mungu anasema na watu wake ..

Read more

Je! Unayo akili? Kumbukumbu la Torati 32:29 Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao. Mtu mwenye akili ni mtu mwenye uwezo wa kufikiri/kupambanua vema na kufanya maamuzi sahihi katika maeneo mbalimbali ya maisha yake. Lakini, je biblia inasemaje kuhusu mtu mwenye akili, biblia inasema.. “.. mtu mwenye akili njia ya uhai ..

Read more

Tafuta kukaa uweponi mwa Mungu daima. Shalom! Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Uwepo wa Mungu upo pamoja nasi siku zote na kila mtu alieokoka anao uwepo wa Mungu kwa sababu anae Roho wa Mungu ndani yake. Lakini si kila Mkristo anakaa ndani ya uwepo wa Mungu, uwepo ..

Read more

USITIE MACHUKIZO NDANI YA NYUMBA YAKO Kumbukumbu la Torati 7:26 ”na machukizo usitie ndani ya nyumba yako, usije wewe kuwa kitu cha haramu mfano wake; ukichukie kabisa, na kukikataa kabisa; kwa kuwa ni kitu kilichoharimishwa”. Machukizo ni nini? Machukizo inatokana na neno “chukizo” na chukizo ni kitu kinachosababisha chuki/hasira. Kwa Mungu kitu chochote kinachoipandisha ghadhabu ..

Read more

TUMEANDALIWA NCHI NZURI YA KUMETA META Mtunzi wa tenzi namba 143, katika ule ubeti wa kwanza anaimba akisema.. “Nchi nzuri yametameta, Huonekana kule mbali, Naye Yesu hutuongoza. Tukafike na sisi huko”. Je! na wewe unaiona ile nchi nzuri ya kumeta meta mbele yako? Kuna nchi nzuri ambayo Bwana ametuandalia mbele, hiyo nchi ni nchi yenye ..

Read more

SISI NI TAIFA TEULE LA MUNGU. 1 Petro 2:9-10 “Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, TAIFA TAKATIFU, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu; [10]ninyi mliokuwa kwanza si taifa, BALI SASA NI TAIFA LA MUNGU; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata ..

Read more