Bwana Yesu asifiwe karibu katika wasaa wa kujifunza neno la Mungu Malaika hawana jinsia yeyote, japo kuna baadhi ya mafundisho inasemekana kuwa kuna malaika wa kike lakini jambo hili hakuna ukweli wowote, hata katika maandiko hakuna uthibitisho wa jambo hili Lakini jambo hili la jinsia lilianza kwa wazazi wetu adam na hawa, hapa ndipo iljulikana ..
Category : Maswali ya Biblia
Mhubiri 11:1 [1]Tupa chakula chako usoni pa maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi. Mwandishi wa kitabu hiki, alitumia neno tupa na si tunza au hifadhi lakini tunaona anasema tupa chakula chako usoni pa maji, hakuishia kusema tupa chakula chako lakini anaendelea kwa kusema hicho chakula akitupe baharini, kama tunavyojua kitu chochote kama kikitupwa kwenye ..
Je mtu akiwa hana ubatizo sahihi, hawezi kuwa na Roho Mtakatifu? JIBU, Kwanza kabisa tutambue jinsi Roho Mtakatifu anavyofanya kazi, Mungu anapomtafuta mtu mwenye dhambi humtuma Roho Mtakatifu kwenda kumshawishi mtu huyo na hapo ndipo mtu huanza kusikia hatia moyoni mwake na kisha huamua kutubu. Kwa hiyo Roho Mtakatifu hufanya kazi ya kumshawishi mtu ..
Shalom… Swali: Naomba kuuliza, je ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena, tunaotakiwa kuwa nao ni wa Roho mtakatifu peke yake ambao Yohana mbatizaji aliuzungumzia katika Mathayo 3:11? “Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa ..
Bwana Yesu asifiwe, Karibu tujifunze maneno ya Mungu na kukumbushana mambo mbalimbali ambayo pengine tulishawahi kujifunza kabla. Leo tutaona umuhimu wa ubatizo. Ni muhimu sana mtu kupata ubatizo na shetani anajua siri iliyopo katika ubatizo na hivyo amekuwa akizuia watu wengi wasiijue. Wana wa Israeli walipokuwa wanatoka Misri, tunaona farao na majeshi yake walikuwa ..
Kabla hatujajua maana ya ubatizo,, kwanza fikiria ukiulizwa ‘kuzamisha ni nini’ utajibuje? Naamini utasema ni kitendo cha kutosa kitu chochote ndani ya kimiminika bila kubakiza sehemu yoyote nje. Mfano, meli ikipata ajali na kushuka chini ya bahari basi tutasema meli imezama. Hata mtu akichukua taka na kuzitupa chini ya shimo alochimba basi tunasema kazizamisha ..
Shalom.. Je unajua kuwa ubatizo unaweza kuua lakini pia unaweza kuokoa? Kuna jambo kubwa limejificha katika ubatizo lakini kama watu wangelijua jambo hilo bila shaka wangefanya bidii kuutafuta ubatizo. tusome vifungu vifuatavyo 1 Petro 3:20 “watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, ..
Jibu: ndiyo ni halali kabisa kutoa cheti kwa watu walioana, kwa sababu ukiachana kutoa viapo vyao, ni lazima pia wawe na ushahidi kuwa kweli wamekubaliana kuwa kitu kimoja Zaidi sana inasaidia hata ikitokea shida naona yao inakuwa vyepesi kutatulika kwa sababu uthibitisho upo ndiyo maana kuna umuhimu mkubwa sana, wa wanandoa kufata taratibu zote kabla ..
Bwana Yesu asifiwe karibu katika kujifunza Neno la Mungu . Mathayo 16:24 [24]Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate. Kujikana ambako Bwana Yesu alikuwa anakuzungimzia ni kukataa matamanio yako, maana ya Neno lenyewe kujikana ni kukataa matamanio yako au mipango yako na kuielekeza sehemu ..
Swali: Je kujihusisha na michezo mfano kushabikia Mpira au kushabikia timu fulani ni makosa Jibu: Neno la Mungu linasema, tusome Wafilipi 2: 3 “Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake’’ Yaani jambo lolote lile ambalo kama likifanyika na kupelekea malumbano ..