Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Pengine umewahi kujiuliza maandiko yanaposema kuwa “Eliya nae alikuwa ni mwanadamu na mwenye tabia moja na sisi lakini aliomba kwa BIDII…nk” ni swali ambalo Wakristo wengi wanatamani kufahamu ni kwa namna gani Eliaya aliomba kwa bidii? Tunafahamu tu maandiko yanasema kuwa Aliomba kwa bidii lakini ni kwa ..
Category : Maswali ya Biblia
Karibu tujifunze maneno ya uzima. DHAMBI, Ni yale mambo yaliyokuwa yanafanyika kinyume na torati au sheria ya Mungu. Ikimaanisha kuwa mtu yeyote aliyekuwa ameivunja hiyo sheria ni sawa na kutenda dhambi au ameiasi Sheria. Ilijulikana kuwa mtu huyo kabla hajaiasi Sheria alikuwa anajua kabisa kuwa jambo Hilo lilisha hakikishwa na kuonekana kuwa ni kosa na ..
Karibu mpendwa katika Bwana tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu yesu kristo. Shetani ni nani? shetani ni malaika aliyetupwa kutoka mbinguni Hadi duniani baada ya kumuasi Bwana Mungu. Japo! duniani Kuna udanganyifu mkubwa ambapo watu wanadhani kuwa shetani anazo pembe za kutisha, anaishi maeneo ya makaburini na wengine hudhania ya kuwa shetani ni ..
Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu yesu kristo. Jibu ni kwamba inategemea na hiyo ibada inayofanywa ina maudhui gani ikiwa hiyo Ibada inalenga kumuombea mfu hiyo ni dhambi mbele za Mungu lakini ikiwa na lengo la kuwafundisha watu, kuonya,kushukuru na kuwajenga watu waishi maisha ya kumpendeza Mungu hiyo ni njema ..
Bwana Yesu asifiwe karibu katika wasaa wa kujifunza neno la Mungu Malaika hawana jinsia yeyote, japo kuna baadhi ya mafundisho inasemekana kuwa kuna malaika wa kike lakini jambo hili hakuna ukweli wowote, hata katika maandiko hakuna uthibitisho wa jambo hili Lakini jambo hili la jinsia lilianza kwa wazazi wetu adam na hawa, hapa ndipo iljulikana ..
Mhubiri 11:1 [1]Tupa chakula chako usoni pa maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi. Mwandishi wa kitabu hiki, alitumia neno tupa na si tunza au hifadhi lakini tunaona anasema tupa chakula chako usoni pa maji, hakuishia kusema tupa chakula chako lakini anaendelea kwa kusema hicho chakula akitupe baharini, kama tunavyojua kitu chochote kama kikitupwa kwenye ..
Je mtu akiwa hana ubatizo sahihi, hawezi kuwa na Roho Mtakatifu? JIBU, Kwanza kabisa tutambue jinsi Roho Mtakatifu anavyofanya kazi, Mungu anapomtafuta mtu mwenye dhambi humtuma Roho Mtakatifu kwenda kumshawishi mtu huyo na hapo ndipo mtu huanza kusikia hatia moyoni mwake na kisha huamua kutubu. Kwa hiyo Roho Mtakatifu hufanya kazi ya kumshawishi mtu ..
Shalom… Swali: Naomba kuuliza, je ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena, tunaotakiwa kuwa nao ni wa Roho mtakatifu peke yake ambao Yohana mbatizaji aliuzungumzia katika Mathayo 3:11? “Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa ..
Bwana Yesu asifiwe, Karibu tujifunze maneno ya Mungu na kukumbushana mambo mbalimbali ambayo pengine tulishawahi kujifunza kabla. Leo tutaona umuhimu wa ubatizo. Ni muhimu sana mtu kupata ubatizo na shetani anajua siri iliyopo katika ubatizo na hivyo amekuwa akizuia watu wengi wasiijue. Wana wa Israeli walipokuwa wanatoka Misri, tunaona farao na majeshi yake walikuwa ..
Kabla hatujajua maana ya ubatizo,, kwanza fikiria ukiulizwa ‘kuzamisha ni nini’ utajibuje? Naamini utasema ni kitendo cha kutosa kitu chochote ndani ya kimiminika bila kubakiza sehemu yoyote nje. Mfano, meli ikipata ajali na kushuka chini ya bahari basi tutasema meli imezama. Hata mtu akichukua taka na kuzitupa chini ya shimo alochimba basi tunasema kazizamisha ..