Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu. Katika Agano jipya biblia imeandikwa kwa Lugha ya kiyunani yaani Kigiriki. Na kutafasiriwa kwa lugha mbali mbali!, Sasa katika Lugha Yetu ya Kiswahili Neno la Mungu linatajwa katika sehemu nyingi kama “NENO “. sehemu nyingi tunasoma utakua “Neno la Bwana likanijia/Neno la Bwana likamjia” Hivyo tunaliona katika sura ..
Category : Maswali ya Biblia
Shalom Bwana Bwana Yesu apewe sifa. Beelzebuli katika Agano la Kale alikuwa ni mungu wa Wafilisti(Philistine) kwa sasa inajulikana kama Palestina. Pale Mfalme Ahazia alipoanguka kutoka juu kule Samaria akaugua sana hivyo akatuma wajumbe waende wakamuulize kwa Beelzebuli mungu wa Ekroni kwamba je atapona ugonjwa huo. 2 Wafalme 1:[2]Na Ahazia akaanguka katika dirisha la chumba ..
“kujazi” katika maandiko linamaana ya “kulipa” linahusu kutoa au kutoa sadaka bila nia ya kuonekana mbele za watu. Mathayo 6:2 “Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu. 3 Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto ..
Daawa ni madai, shitaka, malalamiko, au hukumu inayoweza kutokea pale mshirika mmoja anapomdhulumu au amekufanyia jambo baya. 1Wakorintho 6:1 “Je! Mtu wa kwenu akiwa ana daawa juu ya mwenzake athubutu kushitaki mbele ya wasio haki, wala si mbele ya watakatifu? 2 Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! ..
Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu. Maneno haya mawili yanatumika sana kwa Watakatifu wengi, na huenda huwa unayasikia mara kwa mara lakini huenda hujui nini maana yake. Maana hata mimi nilikuwa nikiyasikia kwa muda mrefu lakini sikuwa najua maana yake hapo kabla. Sasa leo tutakwenda kujifunza maana ya maneno haya mawili. Shalom Ni neno ..
JIBU… Embu tusome Yohana 18:28 “Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile praitorio,wasije wakanajisika,bali wapate kuila Pasaka”. Ukumbi wa hukumu ambao ndio Praitoria,ambao unakuwepo ndani ya majumba ya wafalme, wahalifu wenye kesi ambazo zilipaswa ziamuliwe na Mfalme .. au liwaji wa mji, basi walipelekwa ..
Kombeo Ndio hiyo hiyo teo, hi moja ya silaha ya kurusha iliyotumika kipindi cha zamani wakati wa vita.. Kombeo/teo ilitengenezwa kwa Ngozi au Kamba, na jiwe lilikuwa likiwekwa katikati yake na kurushwa kumwelekea adui. Kwa ulimwengu wa sasa Silaha ya manati ndio inayotumika kama mbadala ya teo. Hivi ni vifungu ambavyo utakutana na neno hilo; ..
Jehanamu au Jehanum, ni neno lenye asili ya Kigiriki , limetafsiriwa kutoka kwa lugha ya Kiyahudi, Ge-hinnom, linalomaanisha bonde la mwana wa Hinomu. Eneo hili lipo kusini mwa Yerusalemu lilitumiwa na watu ambao walikuwa hawamchi Bwana,.walitumia eneo hilo kwa kuwatoa watoto wao dhabihu kwa kuwapitisha kwenye moto kwa miungu waliyoipata Kanaani. Jambo hili lilikuwa chukizo ..
JIBU…. Sifa ni kitendo cha kumshuhudia Mungu, au kuyasimulia matendo makuu ambayo ameyafanya au aliyonayo, na sifa huwa inaambata na mguso wa ndani unaomfanya mtu arukeruke, acheze, afurahie, aimbe, ashangalie, apige kilele kwa nguvu, kwa hayo aliyoyaona kwa Mungu wake… Kwamfano tunapoona jinsi, mbingu na nchi, jua na mwezi, na milima na bahari, vilivyoumbwa kwa ..
Karismatiki. Ni neno la Kigiriki “Charisma ” lenye maana ya Favour(Upendeleo) au Gift (zawadi). Charis(Grace) yaani Neema. Hivyo tunaweza kusema kwa Lugha nyepesi ni zawadi au uwezo anaopewa mtu binafsi na Roho Mtakatifu kwa manufaa ya Kanisa au ukuaji wake wa kiroho. Ni jambo ambalo lilianza Mwanzoni kabisa Mwa karne ya ishirini (20) mnamo Mwaka ..