Archives : July-2025

  KUBALI KUPITISHWA KATIKA MOTO UWE SAFI. Hesabu 31:23 kila kitu kiwezacho kuuhimili moto, MTAKIPITISHA KATIKA MOTO, NACHO KITAKUWA SAFI, pamoja na haya kitatakaswa kwa hayo maji ya farakano; na kila kitu kisichouhimili moto mtakipitisha katika hayo maji. Unapozaliwa mara ya pili kwa kumwamini Yesu Kristo na ukatubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha kabisa kisha ukabatizwa ..

Read more

IKIMBIENI ZINAA Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu. Neno la Mungu linatuelekeza TUKIMBIE ZINAA na wala sio tukemee au tuiombee, maana yake kabla ya kuomba na kuombewa kwa habari ya maroho ya zinaa, ni sisi kwanza ..

Read more

KANISA NA SIKU ZA HATARI Shalom: Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Kabla hatujaendelea mbele kujifunza ujumbe wa Roho Mtakatifu, hebu kwanza turudi shule, bila shaka umewahi kusoma soma la biolojia(sayansi), sasa kuna jambo nataka tujikumbushe linalohusiana ..

Read more

JIWEKENI TAYARI!! JIWEKENI TAYARI!! Mathayo 24:43-44 Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa. [44]Kwa sababu hiyo ninyi nanyi JIWEKENI TAYARI; kwa kuwa katika saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja. Unaelewa maana ya kujiweka tayari? Ili kuelewa vizuri, hebu tafakari kuhusu wanariadha, wakati wamejipanga kwenye ..

Read more

TUPO KATIKA ILE SAA YA KUJARIBIWA. Ufunuo 3:10 “Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, KUWAJARIBU WAKAAO JUU YA NCHI”. Kuna saa ya kuharibiwa inakuja huko mbeleni, ni wakati ambapo kila mtu kwa macho yake atakuwa anaona jinsi dunia inavyokwenda kuisha ndani ..

Read more

Tafuta kukaa uweponi mwa Mungu daima. Shalom! Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Uwepo wa Mungu upo pamoja nasi siku zote na kila mtu alieokoka anao uwepo wa Mungu kwa sababu anae Roho wa Mungu ndani yake. Lakini si kila Mkristo anakaa ndani ya uwepo wa Mungu, uwepo ..

Read more

USITIE MACHUKIZO NDANI YA NYUMBA YAKO Kumbukumbu la Torati 7:26 ”na machukizo usitie ndani ya nyumba yako, usije wewe kuwa kitu cha haramu mfano wake; ukichukie kabisa, na kukikataa kabisa; kwa kuwa ni kitu kilichoharimishwa”. Machukizo ni nini? Machukizo inatokana na neno “chukizo” na chukizo ni kitu kinachosababisha chuki/hasira. Kwa Mungu kitu chochote kinachoipandisha ghadhabu ..

Read more

TUMEANDALIWA NCHI NZURI YA KUMETA META Mtunzi wa tenzi namba 143, katika ule ubeti wa kwanza anaimba akisema.. “Nchi nzuri yametameta, Huonekana kule mbali, Naye Yesu hutuongoza. Tukafike na sisi huko”. Je! na wewe unaiona ile nchi nzuri ya kumeta meta mbele yako? Kuna nchi nzuri ambayo Bwana ametuandalia mbele, hiyo nchi ni nchi yenye ..

Read more

SISI NI TAIFA TEULE LA MUNGU. 1 Petro 2:9-10 “Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, TAIFA TAKATIFU, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu; [10]ninyi mliokuwa kwanza si taifa, BALI SASA NI TAIFA LA MUNGU; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata ..

Read more

Swali: ni nani huyo anayetajwa katika Hesabu 24:17 Jibu tusome; Hesabu 24:17 Namwona, lakini si sasa; Namtazama, lakini si karibu; Nyota itatokea katika Yakobo Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli; Nayo itazipiga-piga pembe za Moabu, Na kuwavunja-vunja wana wote wa ghasia. Huyo anayetajwa hapo, bila shaka ni YESU KRISTO Mkuu wa Uzima na Bwana wa Mabwana, yeye ..

Read more