NA HAPO PATAKUWA NA NJIA KUU Isaya 35: 8 “Na hapo patakuwa na NJIA KUU, na njia, NAYO ITAITWA, NJIA YA UTAKATIFU; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; WASAFIRIO, WAJAPOKUWA WAJINGA, HAWATAPOTEA KATIKA NJIA HIYO”. Jina la Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe daima. Karibu katika mafundisho ya ..
Archives : October-2025
MWENYE HEKIMA ASIJISIFU KWASABABU YA HEKIMA YAKE. Je! Unajisifia nini ndani ya moyo wako? Jina la Bwana Yesu libarikiwe ndugu yangu..Karibu tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima, Maneno ya Mungu yanasema.. “.. Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya ..
Tukio hili litatokea hivi karibuni na kuishangaza dunia. Je! Unafahamu tukio kubwa na la kushangaza ambalo lipo mbioni kutokea? Kama hulifahamu, basi kuna hatari kubwa iko mbele yako…kwa maana itakujia ghafla kama vile mtego unasavyo. Siku zote gari ambalo linakimbia kwa spidi kubwa kwenye barabara ya vumbi, huwa kuna vumbi ambayo inaonekana kwa mbali ambayo ..
CHANZO CHA MATATIZO Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku zote ukijua sababu ya jambo Fulani basi unapata amani. Amani inakuja baada ya kujua sababu ya jambo Fulani. Leo tutajifunza juu ya ..
Anasa ni nini? Na kwanini ni dhambi kwa mkristo kuishi maisha ya anasa. Anasa linatotoka na neno la Kiarabu lenye maana ya raha au starehe tele katika maisha ya binadamu. Anasa mara nyingi hujumuisha kumiliki vitu fulani vya thamani kubwa, au kuishi mazingira fulani, au kutumia vyakula fulani, au kitu chochote cha kufurahisha mwili ambacho ..
Usikimbilie kutafuta msaada kwa miungu. Jambo linalomchukiza Mungu sana ni pale watoto wake wanapokimbilia kutafuta msaada kwa miungu wakati yeye yupo na hashindwi na jambo lolote. Na miungu siyo tu kwenda kwa waganga wa kienyeji, au kwa manabii wa uongo.. bali hata kwa watu wa kawaida…ukiwategemea sana wanakuwa miungu yako na mwisho wa siku Mungu ..
ADUI AKIONA AMESHINDWA ANAKUJA KWA HILA. Si kila wakati ibilisi atakuja kama mpingamizi, au mharibifu, hapana, lengo lake litakuwa ni hilo ndio, lakini akijua hawezi tena kuja moja kwa moja, atakuja kwa ujanja wa kujionyesha ameshindwa wewe una nguvu nyingi, atajiweka chini yako, ajifanye kuwa yeye siku zote ni mnyonge tu.. lakini kumbe ameshakuweza. Ndicho ..
SILAHA MADHUBUTI ANAYOITUMIA SHETANI KUWAANGUSHA WAKRISTO. Kama wewe ni mkristo halisi, yaani namaanisha umeokoka kweli kweli kwa kutubu dhambi zote na kuacha ulimwengu kwa ufupi umezaliwa mara ya pili, Fahamu kuwa unayo maadui wengi wanakuwinda usiku na mchana, na maadui hao sio wanadamu wenzako, bali ni shetani na jeshi lake. Usidhani kuwa shetani anafurahia wewe ..