Archives : November-2025

FAHAMU HATUA AMBAYO SHETANI ANATAKA UIFIKIE. shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Shetani kuna mahali ambapo anataka kila mtu aliemwamini Yesu Kristo aifikie hatua Fulani na mtu huyo akishafikia katika hatua hiyo basi kwake shetani ni ushindi mkubwa sana maana kwa mtu huyo ni ngumu sana ..

Read more

JE! UNATAMBUA WAKATI TULIOBAKIWA NAO? Shalom, Nakusalimu kwa jina lipitalo majina yote Mbinguni na duniani jina la YESU KRISTO wa Nazareti. Karibu tujikumbushe majira na nyakati tunayoishi. Ni muhimu sana kufahamu nyakati na majira tunayoishi. Kwa kawaida katika jambo lolote kufahamu wakati uliobakiwa nao, ni nyenzo kubwa ya kukusaidia kuamua mtindo wa maisha utakaoendana nao ..

Read more

ACHA KUMKOSOA MUUMBA WAKO. (Ujumbe kwa mabinti/wanawake) Huu ni Ujumbe unaokuhusu wewe dada/mama ambaye unamkosoa Muumba wako aliyekuumba kwa uzuri. Biblia inasema.. “Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. (Mahubiri 7:29). Mungu alikuumba ukiwa umekamilika tena akaona ya kuwa kazi aliyoifanya ni chema, Lakini leo unamkosoa, unabadilisha maumbile yako, unabadilisha ..

Read more

UKITII, YESU ATAKUOKOA. Ni Kwanini watakaotangulia kwenda mbinguni wawe ni watu wanaoonekana kuwa mbali na Mungu, kuliko watu wa kidini? Mathayo 21:31 “….Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.” Mpaka kupelekea Bwana Yesu kuzungumza maneno hayo, ni kutokana na mfano aliousema juu yake kidogo, uliowahusu watoto wawili wa ..

Read more

MIMI NDIMI NJIA, KWELI NA UZIMA. Yohana 14:4 “Nami niendako mwaijua njia. [5]Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia? [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi”. Shalom karibu tujifunze Neno la uzima. Tukitaka kufika mahali Fulani au mji Fulani, ni wazi kuwa ..

Read more

Tunapataje ondoleo la dhambi? Karibu tujifunze biblia. Swali: Naomba kufahamu hatua ya kupata ondoleo la dhambi maishani mwangu. Swali nzuri sana. Biblia imetoa kanuni ya kupata ondoleo la dhambi ambayo tunaisoma katika.. Matendo ya Mitume 2:38 “Petro akawaambia, TUBUNI, MKABATIZWE kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, MPATE ONDOLEO LA DHAMBI ZENU, nanyi mtapokea kipawa ..

Read more

HAMANI BIN HAMADATHA ADUI YA WAYAHUDI. Jina la Bwana wetu YESU KRISTO aliye mkuu wa uzima wote litukuzwe. Karibu katika kujifunza NENO la Mungu ili tukue toka utukufu hata utukufu mpaka tutakapofikia kile kilele cha kumjua sana huyu mwokozi wetu Yesu. Leo kwa neema za Mungu tutajifunza kitabu cha Esta ile sura ya 3. Ikiwa ..

Read more

NI SIRI IPI ILIYOMFANYA  ESTA AKUBALIKE KULIKO MABIKIRA WENGINE?. (Masomo maalumu kwa wanawake) Wengi wanadhani ubikira ndicho kigezo cha juu ya kupata kibali… Nataka nikuambie sivyo!.. walijitokeza mabikra wengi mbele ya Mfalme Ahasuero, lakini ni mmoja tu aliyechaguliwa.. Biblia haimtaji Esta kama alikuwa ni mwanamke mzuri kuliko wote waliohudhuria, hapana biblia inasema alikuwa na Uso ..

Read more

KILA ALITAJAYE JINA LA BWANA NA AUACHE OUVU. Jina la Bwana wa Mabwana YESU KRISTO libarikiwe daima. Neno la Mungu linasema.. 2Timotheo 2:19 “Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, KILA ALITAJAYE JINA LA BWANA NA AUACHE OUVU.” Kulitaja jina la Bwana ni zaidi ya kutamka kwa mdomo, ..

Read more

Nikatambua na tazama Siye Mungu aliyemtuma. Nehemia 6:11 “Nami nikasema, Je! Mtu kama mimi nikimbie? Naye ni nani, akiwa kama nilivyo mimi, atakayeingia hekaluni ili kuponya maisha yake? Sitaingia. [12]NIKATAMBUA, NA TAZAMA, SIYE MUNGU ALIYEMTUMA; lakini amefanya unabii huu kinyume changu; nao Tobia na Sanbalati ndio waliomwajiri. [13]Kwa sababu hii aliajiriwa, ili mimi niogope, nikafanye ..

Read more