Archives : December-2025

Je! vazi la suruali limeletwa na wazungu? Yapo mahubiri mengi ambayo ibilisi ameyainua katika siku hizi za mwisho, baadhi ya mahubiri hayo ni yale yanayohuburi kuwa Mungu haangalii mwili bali anaangalia moyo tu, ikiwa na lengo la kuhalalisha wanawake na wanaume kubadili mionekano yao Mungu aliyowaumba nayo. (Kuwa makini sana na injili hiyo maana imetoka ..

Read more