Author : magdalena kessy

  Bwana Yesu Kristo asifiwe, karibu tujifunze maandiko Matakatifu ili tuzidi kumjua Mungu wetu katika kila namna.. ingali bado tunapumua. Siku ya leo tutaenda kujifunza umuhimu wa kumtolea Mungu sadaka isiyo na kasoro yoyote.. Upo umuhimu mkubwa sana wa kumtolea Mungu vitu vyenye hadhi ya hali ya juu ambavyo vinamgharimu mtu hadi kuvitoa. Tusitoe tu ..

Read more

  Shalom: Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa Uzima libarikiwe; Karibu katika darasa fupi tujifunze baadhi ya mambo ambayo yanapuuziwa na kuchukuliwa kirahisi na Watu wengi ila ni mambo makuu sana katika kukuza Imani..japokuwa yanaonekana ni madogo. Ipo tofauti kati ya sadaka na msaada. Wakati ambao unajitoa kuwasaidia wasiojiweza hapo unatoa msaada, na Mungu ..

Read more

  SWALI, Bwana Yesu alimaanisha nini aliposema “Utoapo sadaka mkono wako wa kulia usijue ufanyalo mkono wako wa kushoto” JIBU, Hebu tusome kwanza hiyo habari katika kitabu cha Mathayo 6:1-4 Mathayo 6:1“ Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. ..

Read more

  Jina kuu la Bwana wetu Yesu KRISTO Mwokozi wa ulimwengu litukuzwe, karibu tujifunze Neno la Mungu. Mji wa Serepta ni mji mdogo uliopatikana katika Taifa la Lebanoni, nje kidogo mwa nchi ya Israeli, Nyakati za biblia kipindi ambacho mvua ilizuiliwa miaka mitatu na nusu Kwa kwa Neno la Bwana kupitia mtumishi wake Eliya, Bwana ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze biblia.. Tusome andiko.. [10]Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya. JIBU Ili tujue sababu za Yesu kumwambia wanafunzi wake maneno hayo anza kusoma mistari ya juu utaona walimuuliza swali kuhusu imani, maana walitaka awaongezee imani… Yesu aliwajibu kwa kuwaambia kama wangekuwa ..

Read more

JIBU 1,Wokovu Hakuna namna utamshinda shetani ukiwa nje ya wokovu, kwasababu hata Wana wa Skewa hawakuweza kutoa pepo kwa jina la Yesu kwa sababu hata hao pepo waliwambia Yesu wanamjua na Paulo ,je ninyi ni akina nani?   Matendo 19:13  Baadhi ya Wayahudi wenye kutanga-tanga, nao ni wapunga pepo, wakajaribu kutaja jina la Bwana Yesu ..

Read more

JIBU, tusome…  1 Timotheo 1:8-10 [8]Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali; [9]akilifahamu neno hili, ya kuwa sheria haimhusu mtu wa haki, bali waasi, na wasio wataratibu, na makafiri, na wenye dhambi, na wanajisi, na wasiomcha Mungu, na wapigao baba zao, na wapigao mama zao, na wauaji, [10]na ..

Read more

Shalom, Biblia inasema na tumfahamu sana Yesu Kristo hata tufikie kimo cha ukamilifu (Waefeso 4:13), Imekuwa ikiaminika kwa asilimia kubwa kuwa mtu aliyeshiba siku ni yule aliyeishi miaka mingi, au mwenye miaka mingi akiwa hai, jambo ambalo halina ukweli kulingana na biblia.. Kama ni msomaji wa maandiko utagundua hilo siyo jambo jipya, kwasababu kuanzia agano ..

Read more

JIBU, tusome.. 14]Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza. Mwandishi anaanza kwa kumsifia Mungu wetu kwamba ni tabia yake siku zote kuwaongoza watu wake. Anamaanisha kwamba Mungu hatamuacha mtu bali atamuongoza siku zote katika njia nzuri iendayo uzimani, njia nzuri ya kupigana vita, yenye kujenga na hata kupanda. Ndivyo ..

Read more

JIBU.. Ikiwa mtu amelikiri jina la Yesu na kuamua kumfuata Kristo, ndani yake hutoka chemichemi ya maji yaliyo hai (Mithali 4:23)na Yesu ndiye hutoa maji hayo ambayo hayakauki… Maji hufanya kazi zifuatazo1.Kuondoa kiu2.Kumeesha3.Kuondoa uchafu4.Kugharikisha ikiwa yatazidi Hata katika moyo wa mtu maji hufanya kazi hizohizo, yanaondoa kiu ya kufanya mambo mauovu (Ufunuo 21:6, Yohana 4:14), ..

Read more