Author : Rehema Jonathan

Shalom mwana wa Mungu karibu tena katika kujifunza. Tukianzia sura hiyo ya 16 hadi 17 kuna jambo ambalo alilieleza Paulo hadi akasema yeye ameaminiwa uwakili tusome 1Wakorintho 9:16 “Maana, ijapokuwa naihubiri Injili, sina la kujisifia; maana nimewekewa sharti; tena ole wangu nisipoihubiri Injili! 17 Maana nikiitenda kazi hii kwa hiari yangu nina thawabu; ila ikiwa ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu muumbaji wa vyote karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Yerusalemu maana yake ni mji wa amani ambapo ndiyo mahali penye msingi wa Imani yetu. Mji huu wa yerusalemu kabla haujapata sifa hii ya amani ulikuwa ukiitwa mji wa wakanaani kipindi ambacho wayahudi walikuwa hawajaimiliki nchi yao ..

Read more

Nakusalimu kwa Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tena katika kujifunza Neno lake litupalo nuru.. Maana halisi ya neno hilo “kuiaua nchi” ni kuitembelea nchi au kuizuru, mfano mzuri ni kwa watalii pale wanapokuja kwa ajili ya kutalii kutoka katika nchi zao, au wale watu wanaotumwa kwenda kupepeleza nchi fulani, huko ndiko “kuiaua nchi” ..

Read more

Maana ya kalibu ni TANURU, pale mazingira yanaposafishwa mara nyingi zile nyasi au takataka huchukuliwa kisha hupelekwa kuchomwa moto, sasa hicho kitendo cha kuchukua majani na kwenda kuyateketeza katika moto hiyo sehemu ndiyo inaitwa kalibuni yaani “TANURU” Mathayo 6:30 “Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa mwokozi wetu Yesu Kristo. Maandiko yanasema… “1Wakorintho 7:34 “Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe. 35 Nasema ..

Read more

Jina la Mwokozi wetu libarikiwe karibu tena tujifunze neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu Kumekuwa na maswali mengi juu ya jina hili “Mola” limeonekana kuwa likitumiwa na watu fulani, wa imani fulani tu, lakini huwezi kuta limetumika mara nyingi katika Imani nyingine mara nyingi utakuta wakitumia jina la Mungu tu. Je kutumia Jina ..

Read more

Shalom karibu tena katika kujifunza neno la Mungu. Maana halisi ya mstari huu, hapa Ayubu alikuwa anazungumzia watu ambao wana tabia ya kuwaonea wahitaji mfano, mayatima na wajane Tusome Ayubu 24:2 “Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi kwa jeuri na kuyalisha. 3 Humfukuza punda wake asiye baba, Humtwaa rehani ng’ombe wake mwanamke mjane.”. Tunaona ..

Read more

Andiko hili limekuwa likitafsiriwa tofauti na lilivyo, lakini Leo tutajifunza  linamaanisha nini/maana yake ni nini? Mithali 24:26 “Aibusu midomo atoaye jawabu la haki” Jawabu la haki linalomaaniashwa hapa ni kuwa mtu yeyote mwenye haki, ni yule anayeamua Kufunguka kwa wenzake kwa kumweleza ukweli wote pasipo kumficha jambo lolote ili kumweka huru na kumuepusha na jambo ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Jambo ambalo ni la muhimu na la kuzingatia, ni vizuri kufahamu biblia ilitafsiriwa kwa lugha zipi, au chimbuko gani la lugha ilitumika katika kuandika maandiko matakatifu ya Mungu, Kipindi biblia inaandikwa haswa katika biblia yetu hii  hususani agano jipya maneno mengi ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe, Karibu katika kujifunza Vifungu  hivi vitatusaidia kujua  jibu kulingana  na swali hapo juu Kutoka 14:28 [28]Yale maji yakarudi yakafunikiza magari na wapanda farasi, hata jeshi lote la Farao lililoingia katika bahari nyuma yao; hakusalia hata mtu mmoja. Tusome tena Kutoka 15:19 [19]Kwa maana farasi za Farao na magari yake na wapanda farasi ..

Read more