Category : Kanisa

Je unayadhamini maagizo ya Bwana? Zipo maagizo ya Bwana ambayo aliagiza kwenye biblia kila mtu aliye wake anapaswa kuzishika na kuzitenda. Moja ya maagizo hayo ni pamoja na ubatizo wa maji, kushiriki meza yake, kutawazana miguu, kukusanyika kwa pamoja, na mengineyo. Lakini siku ya leo tutaangalia hiyo ya kukusanyika pamoja. Biblia inasema.. Waebrania 10:25 Wala ..

Read more