Je unayadhamini maagizo ya Bwana? Zipo maagizo ya Bwana ambayo aliagiza kwenye biblia kila mtu aliye wake anapaswa kuzishika na kuzitenda. Moja ya maagizo hayo ni pamoja na ubatizo wa maji, kushiriki meza yake, kutawazana miguu, kukusanyika kwa pamoja, na mengineyo. Lakini siku ya leo tutaangalia hiyo ya kukusanyika pamoja. Biblia inasema.. Waebrania 10:25 Wala ..
Category : Kanisa

Ukiona kanisa lako lina sifa fuatazo basi tambua kuwa, hilo sio kanisa bali ni nyumba ya makahaba ambayo mnakutana pamoja na kufanya uka..

Je! Unaweza niambia na kunielekeza kanisani gani ni sahihi katika siku hizi za mwisho ili nikashiriki hapo? kwa sababu kila sehemu unapoenda ni manakisa yamejaa na kila mtu anahubiri habari za Yesu hadi mtu unachanganyikiwa na unashindwa kufahamu lipi ni sahihi na lipi ni..

KANISA LA KWELI NI LIP..

Sabato maana yake ni PUMZIKO. Na pumziko la Mungu lilikuja katika siku ya saba, baada ya kumaliza uumbaji wake kwa siku sita. Hivyo akaibariki, akasema siku hiyo ni Sabato yangu. Lakini miaka mingi mbeleni, alipokuja kulichagua taifa moja teule, akawaagiza kuwa siku hiyo ya saba itakuwa ni siku ya kupumzika kwao, Na taifa lenyewe ndio ..