Category : Kanisa

Sifa kuu ya kanisa la Kristo Shalom: Jina la Bwana Yesu Kristo libarkiwe. Leo tutaangalia sifa kuu tano za kanisa la Kristo ambazo kanisa la Mungu liwapo mahali popote linapaswa liwe nazo. Hii ina maana kuwa kila unapoingia ndani ya kanisa la Kristo mahali popote ni lazima ukutane na sifa hizi tano vinginevyo hilo sio ..

Read more

Je unayadhamini maagizo ya Bwana? Zipo maagizo ya Bwana ambayo aliagiza kwenye biblia kila mtu aliye wake anapaswa kuzishika na kuzitenda. Moja ya maagizo hayo ni pamoja na ubatizo wa maji, kushiriki meza yake, kutawazana miguu, kukusanyika kwa pamoja, na mengineyo. Lakini siku ya leo tutaangalia hiyo ya kukusanyika pamoja. Biblia inasema.. Waebrania 10:25 Wala ..

Read more