Wengi wetu tunaposikia neno ufisadi moja kwa moja akili zetu zinatupeleka kwenye vitendo vya ubadhilifu wa fedha za shirika fulani au za taifa kwa faida binafsi.. Lakini kibiblia Neno hili linatumika tofauti..linamaanisha kitendo cha ukahaba au umalaya uliopindukia ambao haujali hata jinsia umri au mazingira.. Hivyo popote pale ukutanapo na Neno hili ujue hiyo ndio ..
Category : Maswali ya Biblia
Je mtu anamkufuru vipi Roho Mtakatifu mpaka kupeleke asisamehewe kabisa ? Dhambi hii Bwana Yesu aliinena kutokana na tabia aliyoiona kwa wale mafarisayo na waandishi waliokuwa wamemzunguka. Walikuwa ni watu wanaoishi maisha ya unafki wakijua ukweli lakini wasiutende na kibaya zaidi waliutumia ujuzi wao kuwapotosha hata na wengine wasiufahamu ukweli..na ndio maana Bwana Yesu aliwakemea ..
Kibiblia hakuna dhambi kubwa kuliko nyingine kwasababu dhambi zote zina malipo sawa nayo ni mauti. Warumi 6:23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. Hii ikiwa na maana kama ulikufa kwa dhambi ya kuzini na mwingine akafa kwa dhambi ya kuua watu ..
SWALI: Ikiwa Ubatizo wa maji, uliletwa na Yohana kwa mara ya kwanza, na yeye ndiye aliyekuwa akiwabatiza watu wote. Swali linakuja je! Yeye naye alibatizwa na nani? Jibu ni kuwa hatufahamu mtu husika aliyembatiza, lakini ni wazi kuwa na yeye pia “alibatizwa”. Pengine na mmoja ya wanafunzi wake ,. Lakini unaweza kuuliza ni kigezo gani, ..