Category : Siku za Mwisho

UVUMILIVU WA MUNGU NI NAFASI YA KUOKOKA. Kuna watu wanasema mbona tangu enzi za mababu zetu tunasikia tu kuwa tunaishi katika siku za mwisho lakini ule mwisho mbona haufiki. Hakuna mwisho wa dunia ni habari za kutunga tu! Lakini biblia inasemaje? 2Petro 3:1 “Wapenzi, waraka huu ndio wa pili niwaandikiao ninyi; katika zote mbili naziamsha ..

Read more

  TAFUTA KUWEPO KATIKA UFUFUO WA KWANZA  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Biblia inasema ana heri mtu yule ambaye atakuwa na sehemu katika ufufuo wa kwanza, ikiwa na maana kuna ufufuo wa kwanza na ufufuo wa pili. Tunasoma.. Ufunuo wa Yohana 20:4 “Kisha nikaona viti vya enzi, ..

Read more

JE! UNATAMBUA WAKATI TULIOBAKIWA NAO? Shalom, Nakusalimu kwa jina lipitalo majina yote Mbinguni na duniani jina la YESU KRISTO wa Nazareti. Karibu tujikumbushe majira na nyakati tunayoishi. Ni muhimu sana kufahamu nyakati na majira tunayoishi. Kwa kawaida katika jambo lolote kufahamu wakati uliobakiwa nao, ni nyenzo kubwa ya kukusaidia kuamua mtindo wa maisha utakaoendana nao ..

Read more

WAFU WATAFUFULIWA Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo, Mfalme wetu, Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hatujaendelea mbele, Naomba usome ushuhuda huu mfupi utakuwa msingi wa somo letu. “Ilikuwa ni tarehe 17/10/2025 majira ya alfajiri, Bwana alinipa huu ujumbe kupitia ndoto. Niliona miili ya watu wengi ikifufufuka kutoka ..

Read more

USIKUBALI KUTUMAINISHWA KWENYE DHAMBI Jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia.. Hatari kubwa iliyopo katika siku hizi za mwisho ni Kunyanyuka kwa jopo kubwa la Manabii wa Uongo ambao kazi yao ni kuwatumainisha watu waendelee kuishi katika dhambi na mwisho wa siku wakose mbingu… Sasa biblia inapotaja uwepo wa manabii wa uongo, haimaanishi tu manabii ..

Read more

USISUBIRI MPAKA UVUMILIVU WA MUNGU UKOME JUU YAKO. Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Nakukaribisha tulitafakari Neno la Mungu, ambalo ndio pekee lenye uwezo wa kuokoa roho za watu. Na leo nataka tuitafakari tena juu ya hukumu ya Mungu inayokuja ulimwenguni. Ndugu yangu usidhani ukiachwa sasa kwenye UNYAKUO utakuwa na nafasi ya pili mbele za ..

Read more

Tukio hili litatokea hivi karibuni na kuishangaza dunia. Je! Unafahamu tukio kubwa na la kushangaza ambalo lipo mbioni kutokea? Kama hulifahamu, basi kuna hatari kubwa iko mbele yako…kwa maana itakujia ghafla kama vile mtego unasavyo. Siku zote gari ambalo linakimbia kwa spidi kubwa kwenye barabara ya vumbi, huwa kuna vumbi ambayo inaonekana kwa mbali ambayo ..

Read more

TENA HABARI NJEMA YA UFALME ITAHUBIRIWA KUWA USHUHUDA KWA MATAIFA YOTE. Mathayo 24:14 “Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja”. Bwana Yesu asifiwe ndugu mpendwa.. Ukitaka kujua kuwa mambo yote sasa yameshakamilika, kinachongojewa ni UNYAKUO tu, angalia hali ya mwitikio wa Injili sasa ..

Read more

HEKALU LA BWANA LIKO TAYARI Hekalu la kwanza kama tunavyofahamu lilitengenezwa na Mfalme Sulemani, Ni hekalu lililochukua kipindi cha miaka 7 mpaka kukamilika, Tunasoma.. 1 Wafalme 6:38 ”Hata katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, na sharti zake zote. Basi muda wa miaka ..

Read more

NA WANADAMU WAKAUNGUZWA MAUNGUZO MAKUBWA Ufunuo wa Yohana 16:8 “Na huyo wa nne akakimimina kitasa chake juu ya jua, nalo likapewa kuwaunguza wanadamu kwa moto. [9]Wanadamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu”.  Umewahi kuitafakari mwisho wa hii dunia itakuaje? Biblia imeweka ..

Read more