USILALE USINGIZI WAKATI HUU WA KUMNGOJEA BWANA Biblia inatusihii tusilale usingizi sisi tulio wana wa nuru..hasa katika wakati huu wa kungojea parapanda ya mwisho, huu ni wakati wa kukesha kweli Kweli. 1 Wathesalonike 5:1 Lakini, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira, hamna haja niwaandikie. [2]Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana ..
Category : Siku za Mwisho
Naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake. Mathayo 24:17-18 naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake; [18]wala aliye shambani asirudi nyuma kuichukua nguo yake. Katika nyakati tunazoishi kila mtu anafahamu kuwa tunaishi ukingoni kabisa mwa siku za mwisho, lakini cha kusikitisha ni kwamba pamoja na kuwa watu ..
KANISA NA SIKU ZA HATARI Shalom: Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Kabla hatujaendelea mbele kujifunza ujumbe wa Roho Mtakatifu, hebu kwanza turudi shule, bila shaka umewahi kusoma soma la biolojia(sayansi), sasa kuna jambo nataka tujikumbushe linalohusiana ..
JIWEKENI TAYARI!! JIWEKENI TAYARI!! Mathayo 24:43-44 Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa. [44]Kwa sababu hiyo ninyi nanyi JIWEKENI TAYARI; kwa kuwa katika saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja. Unaelewa maana ya kujiweka tayari? Ili kuelewa vizuri, hebu tafakari kuhusu wanariadha, wakati wamejipanga kwenye ..
TUPO KATIKA ILE SAA YA KUJARIBIWA. Ufunuo 3:10 “Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, KUWAJARIBU WAKAAO JUU YA NCHI”. Kuna saa ya kuharibiwa inakuja huko mbeleni, ni wakati ambapo kila mtu kwa macho yake atakuwa anaona jinsi dunia inavyokwenda kuisha ndani ..
MAANA PARAPANDA ITALIA 1 Wakorintho 15:51-52 “Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, [52]kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; MAANA PARAPANDA ITALIA, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika”. Ni wazi kuwa kila mtu analijua hili, kwamba tunaishi kabisa ukingoni mwa nyakati na Yesu Kristo amekaribia kurudi ..
BASI, JIANGALIENI MIOYO YENU ISIJE IKALEMEWA Luka 21:36 Basi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafula, kama mtego unasavyo; Shalom, Jina kuu la mwokozi wetu Yesu libarikiwe daima. Je! Umewahi kuitafakari kwa utulivu hii kauli ya Bwana aliposema ”jiangalieni mioyo yenu isije ikalemewa”, yapo ..
NITAWALEMEA NINYI KAMA GARI LILEMEAVYO LILILOJAA MIGANDA Amosi 2:13 Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda. [14]Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio; Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake; Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake; [15]Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake; [16]Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaa Atakimbia ..
MAKANISA SABA NA BIBI ARUSI WA KRISTO Jina la Bwana Yesu mkuu wa uzima libarikiwe milele na milele. Karibu tujifunze habari njema. Lakini kabla hatujaendelea mbele zaidi, nikuulize swali hili ndugu yangu, Je wewe ni bibi arusi wa Kristo? Nafahamu bila shaka utajibu ndiyo, lakini je unafahamu bibi arusi safi wa Kristo anatakiwa aweje? Huu ..
Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; Isaya 42:20 “Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake ya wazi, lakini hasikii.” Je! we ni miongoni mwa waonao mambo mengi, lakini huyatii moyoni? Neno la Mungu linasema.. Isaya 28:22 Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ..