Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Watu wengi wana bidii katika maombi wengine wanafunga kwa kipindi kirefu lakini mwisho wa siku hawaoni matokeo katika kile walichokuwa wanakiomba. Mwisho inapelekea kukata tamaa na kuona kama Mungu hawasikii ama yupo mbali na wakati mwingine wanahisi kuwa huenda wamekosea mahali fulani ..
Archives : December-2024
Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kwa Neema za Bwana tutakwenda kuangazia ni namna gani tunaweza kujua njia ya wokovu kupitia kitabu cha warumi.. Pengine ulishawahi kukisoma,au ni msomaji wa kitabu hicho ila leo tutajifunza jambo lingine ambalo hukuwahi kulifahamu.. njia ya wokovu ndani ya kitabu cha warumi ni mpango wa wokovu ..
Maandiko yalimaanisha nini kusema kaini alitoka mbele ya uso wa Mungu, JE yaalimaanisha kuwa alikufa au la ? Tusome Mwanzo 4:9 “Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. 11 Basi sasa, umelaaniwa ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu katika kujifunza tena Mastari huu umekuwa ukitafsriwa tofauti, imekuwa ilidhahaniwa kuwa mstarii huu unamaanisha Mtakatifu kuanguka katika dhambi, la sivyo kwa sababu ingekuwa Kila wakati mwenye haki ananguka katika dhambi ya wizi kisha anainuka, alafu tena baada ya mda anaanguka, badae tena anaanguka, ni wazi kuwa itamfanya kupoteza nguvu ya kumtumikia ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Kama Mkristo ni muhimu sana kutambua hatima yako ni nini katika Ukristo ulionao. Ukishindwa kutambua hatima yako ni nini utajikuta unakosa shabaha juu ya kile Mungu anachotaka kukiona kwako. Utaelekekeza matumaini na nguvu zako nyingi na muda wako mwingi ..
Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Yesu Kristo. Bwana wetu Yesu Kristo anamaanisha kuwa ndani ya moyo wa mwanadamu kuna mawazo mengi ya tamaa ambayo mwisho wa siku hizo tamaa hupelekea upotevu kwamfano mtu atatamani anunue nyumba au awe na mali nyingi ili aweze kuwatendea vibaya wale waliomtendea vibaya wakati Bado hajapata mali ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu tujifunze neno la Mungu Yesu Kristo alijulikana kwa sifa nyingi sana, mfano anajulikana kama simba wa yuda, maji ya uzima, mwamba imara nk… Hizi ndiyo tabia ambazo zilimtambulisha Yesu Kristo Likini Leo tutajifunza sifa yake moja, Yesu Kristo kwanini aitwe mwana-kondoo na si mwana- mbuzi au mwana mbuzi au mwana- beberu. ..
Yeremia 1:11 Tena neno la BWANA likanijia, kusema, Yeremia, waona nini? Nikasema, Naona UFITO WA MLOZI. 12 Ndipo BWANA akaniambia, UMEONA VEMA, Kwa maana ninaliangalia neno langu, ili nilitimize. Shalom mtu wa Mungu. Karibu tujifunze biblia. Kabla hatujaenda ndani kuangalia ujumbe wa leo, tuangalie kwanza maana ya huo mti wa mlozi alioonyweshwa nabii Yeremia ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ni jambo la muhimu sana kulitambua hili na kujitathimini. Ipo tofauti kubwa sana kati ya kumcha Mungu na kumtumikia Mungu. Bahati mbaya sana watu wanasema wanamcha Mungu kumbe wanamtumikia Mungu tu wala hawamchi. Na siku ile Bwana Yesu hatawatambua kabisa. Tutaangalia mtu ..