Author : Paul Elias

Waebrania 10:25“wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.” Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.  Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Umewahi kujiuliza vyema na kutafakari kwa kina swali hili..” kwa nini ninakwenda kanisani kila siku jumapili, Jumatano, ijumaa nk” ..

Read more

Shalom Karibu tena katika kujifunza neno la Mungu litupalo nuru katikati yetu Limekuwa swali kwa watu wakitamani kujua kama kweli, upo umuhimu wowote wa kumlipia binti mahari, pale kijana anapotaka kumuoa, na wengine wanajiuliza je Adam alilipa kwa nani mahari ya hawa? Kwanza kabisa ndoa ya kwanza iliunganishwa na Mungu mwenyewe, Adam asingeweza kutoa mahari ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ili tuweze kuuelewa mstari huu vizuri tuchukulie mfano wa kuku anakwenda kuchinjwa baada hata ya dakika 20 au 10 huyo kuku mauti inakuwa inafanya kazi ndani yake. Maana muda si mrefu anakwenda kuchinjwa. Lakini kwetu sisi ambao tunamla kuku uzima unakuwa unafanya kazi ndani yetu maana muda ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu katika. Tukisoma kwenye biblia hakuna mahali imeandika kwamba Daniel alikuwa wapi wakati wa tukio hilo linatokea la wenzake kutupwa kwenye tanuru la moto baada ya wao kukataa kuisujudia sanamu ya Mfalme Nebukadreza.  Na hii ni kwa sababu biblia haichukui kila kitu na kukiandika bali inachukua matukio ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuna funzo kubwa sana Mungu anatamani tulifahamu katika habari ile ya mwanamke msamaria na Bwana Yesu pale kisimani. Wengi wetu huwa tunaisoma na kuona ni Habari ya kawaida tu lakini sivyo. Swali hili tujiulize/nikuulize “Je inahitaji kipindi fulani kipite katika wokovu ndio ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtume Paulo alimaanisha nini kusema …”wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.” Sasa kabla ya kuona Paul alikuwa akimaanisha nini katika mstari huo na wakina na nani alikuwa akiwalenga watu wa namna gani? Ukianza ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Katika kila Habari tunayoisoma katika Biblia nyuma yake kuna fundisho kubwa sana na la muhimu sana kulifahamu kwa kila Mkristo. Kila Habari imebeba ujumbe mkubwa sana nyuma yake, na bahati mbaya tunaishia kuona stori tu peke yake na hatuoni ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Mwokozi wetu.   Kama Mwamini uliyeokoka ukampa Yesu Kristo maisha yako ni muhimu sana kujua unamuwakilisha nani kwa watu wanaokutazama. Katika jamii inayokuzunguka wakikutazama wanamuona Kristo ndani yako au wanauona ulimwengu ndani yako?, ni jambo la kuwa makini sana na kuwa ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo Mwokozi wetu. Kimiami kwa lugha ya sasa ni dirisha kubwa lililo katika ghorofa. Katika lugha/Kiswahili cha zamani ilimaniisha hivyo. Sasa ukisoma katika biblia ya kiingereza inaeleza wazi wazi kabisa maana yake ni nini!! Song of Solomon 2:9 [9]My beloved is like a gazelle or a young hart. Behold, he ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafari maneno ya uzima wetu.   Maandiko yanasema Neno la Mungu ni taa na mwangaza wa njia zetu   Zaburi 199:105 “Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu”   Sasa katika ulimwengu wetu huu tunaoishi zipo njia za aina mbili tu ..

Read more