Author : Paul Elias

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Maombi ya kukemea au kufukuza mapepo hayamfungui mtu au kumweka huru moja kwa moja! Bali yanafukuza Yale mapepo kwa muda, na baadae watarudi kuangalia Hali ya maskani yao, kama kuna upenyo wa kurudi watarudi, tusome.. Mathayo 12: 43 “Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali ..

Read more

  Nini maana ya kusali kwa kupayuka payuka? Shalom Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo kwa njia ya swali hili. Maandiko Matakatifu yanatwambia… Mhubiri 5:2 “….. kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo MANENO YAKO na yawe MACHACHE.” Sasa ..

Read more

  Bwana wetu Yesu Kristo Asifiwe sana. Mpendwa mwenzetu anauliza JE ni sahihi kwenda kutubia dhambi zako kwa kiongozi wa dini mfano padre, kama ilivyoandikwa katika (Yohana 20:23) ? Jibu: kwanza turejee mstari husika.. Yohana 20:23 ” Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.” Tuongezee.. 18 “Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, ..

Read more

    Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Baada ya kumwamini Yesu na kuokoka, kuna mambo sita Mungu huyafanya ili kuondoa ule uovu ndani ya mtu, Nayo ni.. 1. DAMU Kwakuwa sote tulizaliwa katika deni la dhambi, hukumu ya mauti ilikuwa juu ya Kila mmoja wetu (Rumi 6:23). Kwa kifo Cha Yesu Kristo ..

Read more

  Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Makuhani hawa ni watu maalum waliokuwa wanahudumu katika “Hema ya kukutania  jangwani.” wakati wana wa Israeli wakiwa jangwani na katika “Hekalu la Mungu” baada ya wana wa Israeli kuingia katika nchi ya ahadi (kanaani) na kumjengea Mungu nyumba. Sasa Kazi kubwa ya Makuhani ilikuwa ni “kufanya ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Somo hili ni muhimu kwako wewe mshirika unayeudhuria  kanisani kila jumapili na wewe pia muhudumu wa Madhabahuni ikiwa ni Shemasi,Mchungaji,Nabii muimbaji wa kwaya nk. Watu wengi leo hii wanakwenda kanisani na wanatumika madhabahuni wengine lakini hawatambui ni nani wanayemtumikia na anataka nini?. ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Bwana wetu Yesu. Ufunuo 3:19 “Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.” Kama Mkristo uliyeokolewa/kukombolewa kwa damu ya thamani ya Yesu Kristo maana yake wewe umefanyika kuwa ni mwana wa Mungu. Yeye ni Baba kwako na ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ukianza kusoma kitabu cha Mathayo 24:3 utaona wanafunzi wake Yesu walikuwa wakimuuliza Bwana Yesu mambo hayo aliowaambia yatakuwa lini maana yake yatatokea kipindi gani au wakati gani?, lakini hatuoni wanaishia hapo tu wanamuuliza tena kuwa dalili ya kurudi kwake Bwana Yesu au ..

Read more

Hebu tuvipitie vifungu vyenyewe 2Petro 2:12 “Lakini hao kama wanyama wasio na akili, ambao walizaliwa kama wanyama tu wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyoyajua, wataangamizwa katika maangamizo yao; 13 Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, WAKIDHANIA KUWA ULEVI WAKATI WA MCHANA NI ANASA; wamekuwa ni mawaa na aibu wakifuata anasa ..

Read more

Shalom Mwana wa Mungu,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtume Paulo katika mstari huu ametaja mambo makuu matatu kabla ya kwenda kuyatazama kwa undani tusome mstari huo unasemaje! Wafilipi 3:2  “Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao” Mtume Paulo alikuwa akilionya ..

Read more