Author : Rehema Jonathan

Shalom. Karibu tuyatafakari Maneno ya Uzima Zaburi 48:14 [14]”Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza.” Tunaona mwandishi akijivunia sifa ya Mungu wao wa milele. Kwamba ndiye atakayewaongoza katika Mambo yote kwa njia sahihi na ya uzima, njia sahihi ya kupanda, kupigana vita na kujenga lakini kubwa zaidi ni kwamba ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Kitabu Cha filemoni ni miongoni mwa nyaraka zilizoandikwa na Mtume Paulo huko kifungoni Rumi. Waraka huu Paulo aliuandika kwa filemoni mtu aliyegeuzwa na injili yake mtume Paulo. Baadaye filemoni anakuwa mtumishi wa Bwana katika nyumba yake mwenyewe, na kufanyika baraka kwa watakatifu katika kanisa la kolosai Filemoni ..

Read more

Bwana Yesu na Asifiwe. Karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Tunajifunza nini katika neno hilo ? Jibu tunalipata Zaburi 69:8 “Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, Na msikwao kwa wana wa mama yangu”. Msikwao ni mgeni kutoka nchi nyingine {Stranger in English}. Mtu kutoka taifa jingine na kwenda taifa jingine lisilo lake ndio anaitwa msikwao. Hivyo anaposema ..

Read more

Shalom karibu tujifunze neno la Mungu. Agano la chumvi ni Agano Gani kama inavyotumika katika 2Nyakati 13:5, Turejee.. 2Nyakati 13:5 “Je! Haikuwapasa kujua ya kwamba Bwana, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi ufalme juu ya Israeli milele, yeye na wanawe kwa AGANO LA CHUMVI” Neno hili linaonekana mara tatu katika Biblia Hesabu 18:19, 2Nyakati 13:5 na ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Wagerasi ni watu waliokuwa wakiishi katika mji wa Gerasi, Kusini mashariki mwa Bahari ya galilaya. Ilikuwa ni moja ya nchi ya Dekapoli iliyokuwa ya watu mataifa. Tunaona ni kule Yesu aliko kutana na aliyekuwa na kichaa kikali akamponya.. Marko 5:1-3 [1]Wakafika ng’ambo ya bahari mpaka nchi ya ..

Read more

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na libarikiwe. Turejee jibu kutoka 5:14-16 “Na WANYAPARA wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa Farao wamewaweka juu yao, wakapigwa, wakiambiwa, Kwa nini hamkutimiza kazi yenu jana na leo; kwa kufanya matofali kama hapo kwanza? 15 Basi WANYAPARA wa wana wa Israeli wakaenda, wakamlilia Farao, wakisema, Mbona umetutendea hivi, ..

Read more

Shalom. Kaini anapewa hukumu baada ya kumwua Nduguye habili Mwanzo 4: 9 “Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. 11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo Wana wa Israeli walipokuwa jangwani Walipewa mana, lakini haikuwa na Ubora sawa, japokuwa ni mana ileile. Sasa ni kivipi? Majibu tunayapata kitabu Cha kutoka 16:19-36.. 1. Kulikuwa na Mana iliyodumu siku moja Hii iliokotwa kila asubuhi, na kupikwa na iliyeyuka baada ya kupigwa na jua. Tunasoma pia ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Mungu aliupenda Ulimwengu kwa sababu asili ya Mungu wetu ni UPENDO, tusome.. 1Yohana 4:16 ” Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. MUNGU NI UPENDO, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.” Lakini si kwamba Mungu aliupenda Ulimwengu na mambo ..

Read more

Bwana wetu Yesu Kristo na Asifiwe Mwandishi wa kitabu Cha mathayo. JE ni nani? Jina la kitabu lajieleza lenyewe “INJILI KAMA ILIVYOANDIKWA NA MATHAYO MTAKATIFU” kuonesha Mwandishi ni Mathayo, Sasa swali linakuja, Je! Ni mathayo yupi? Biblia haijaeleza moja kwa moja kuwa ni yupi, lakini wanazuoni wengi na watafiti wa historia ya biblia wanahitimisha kuwa ..

Read more