Category : Biblia kwa kina

Je! Umepatanishwa na adui zako? Mithali 16:7 “Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye. Kama tunavyofahamu kuwa adui wetu mkubwa tunayepambananae ni ibilisi pamoja na mapepo yake, adui wa pili ambaye anatuharibia mahusiano yetu na Mungu ni dhambi. Sasa tukilijua hilo..hatutapoteza muda kupambana na wanadamu wenzetu kwa kuwachukulia kama ni maadui. Ni ..

Read more

USISHIKAMANE NA BINTI ZA MATAIFA Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia kwa pamoja. Tukisoma biblia, kipindi Isaka anambariki Esau, baada ya kumbariki alimwagiza asitwae mke kati ya binti za Kanaani, bali aende huko Padan-aramu akajipatie mke katika nyumba ya Labani ndugu wa mama yake. Tunasoma.. Mwanzo 28:1 “Basi Isaka akamwita Yakobo, ..

Read more

Je! Neno la Mungu limefunuliwa kwako? 1 Samweli 3:7 “Basi Samweli alikuwa hamjui BWANA bado, na neno la BWANA lilikuwa bado halijafunuliwa kwake.” Kuna mambo huwezi kuyafahamu kama Neno la Mungu halijafunuliwa kwako, utaishia tu kubaki vile vile huku ukidhani umekamilika kumbe bado. Kwa mara ya kwanza Mungu alipoiumba hii dunia, kuna mambo ambayo hayakuweza ..

Read more

Kuokoka na kuzaliwa mara ya pili Jina kuu la Mfalme na Mwokozi YESU KRISTO libarikiwe. Karibu tuongeze maarifa ya kufahamu biblia. Leo tutafahamu ukweli kati ya kuokoka na kuzaliwa mara ya pili, je ni kuokoka ndio kuzaliwa mara ya pili au kuzaliwa mara ya pili ndio kuokoka? sahihi ni ipi? Ni vizuri kuelewa na kufahamu ..

Read more

MPE MUNGU NAFASI YA KWANZA KATIKA MAISHA YAKO Jina kuu la Mwokozi Yesu libarikiwe. Kama tunavyojua, Mungu wetu aliye juu mbinguni amejitambulisha kwetu kwa namna tofauti tofauti ili tuweze kumwelewa zaidi. Kwamfano anasema yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wakwanza na wamwisho. (Ufunuo 22:12) Sasa ili tuweze kuelekea kiini cha somo letu, hebu ..

Read more

KUBALI KUMFUATA KRISTO KWELI ILI UWE BIBI ARUSI WAKE. Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Kama wengi tunavyofahamu kuwa kanisa la Kristo linaitwa bibi arusi. Na tunajua kanisa sio jengo bali ni watu waliomwamini Yesu Kristo na kukubali kuingia gharama ya kumfuata..kama yeye mwenyewe alivyosema.. “…Mtu ye yote akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe, ..

Read more

FANYA KAZI YA BWANA BILA KUCHOKA. Kama we ni msomaji wa biblia..utakuwa unafahamu habari ya Ruthu, alikuwa ni mwanamke wa kimataifa aliyekubali kufuatana na Mungu wa Israeli..kama vile sisi tuliokuwa watu wa mataifa tukakubali kumfuata Mungu wa Israeli na tukafanyika wana wa Israeli kupitia neema ya Yesu Kristo, hivyo tukisoma.. huyu mwanamke alikuwa ni mwanamke ..

Read more

LAKINI HAKUJUA YA KUWA BWANA AMEMWACHA. Jina la Mwokozi YESU libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Kama ni msomaji wa biblia utakuwa unafahamu ile habari ya Samsoni na Delila, leo kuna jambo nataka tujifunze katika hiyo habari. Tukisoma hiyo habari..tunaona baada ya Delila kumsumbua Samsoni kila siku ili atake kujua siri za nguvu zake, hatimaye Samsoni alikuja ..

Read more

HATARI YA KIU BAADA KUKOSA MAJI YA UZIMA Shalom: Nakusalimu kwa jina kuu lipitalo majina yote..jina la Bwana Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Na leo tutaangalia hatari ya kupatwa na kiu ya kukosa maji ya uzima, yapo maji ya kawaida na pia yapo maji ya uzima ambayo Bwana alisema “yeyote atakayekunywa maji ..

Read more

USIRUHUSU CHAWA WAINGIE NDANI YAKO Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe milele daima. Karibu tujifunze biblia. Kabla hatujaangalia chawa wanawakilisha nini katika roho, hebu kwanza tutazame chawa wa kawaida na tabia zao kwa ufupi. Kama wengi tunavyojua chawa ni mdudu ambaye hukaa au kuishi kwenye mwili, nywele au nguo za kiumbe mchafu. Chawa hutokana ..

Read more