Shalom. Isaya 42:19 “Ni nani aliye kipofu, ila mtumishi wangu? Au aliye kiziwi, kama mjumbe wangu nimtumaye? Ni nani aliye kipofu, kama yeye aliye na amani? Naam, kipofu kama mtumishi wa Bwana? 20 Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake ya wazi, lakini hasikii”. Maneno ya Mungu kupitia nabii Isaya kwa Wayahudi, waliokuwa ..
Category : Maswali ya Biblia
Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Ili kupata taarifa sahihi, tufuatilie habari nzima kuanzia juu kidogo.. 1Wakorintho 14:26 “Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga. 27 Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, ..
Shalom. Hakuna chakula kilichokatazwa, kwa maana kinachomnajisi mtu, si kinachoingia bali kinachotoka. Pia tuangalie nyaraka mbalimbali za mitume zimasemaje kuhusu hili.. 1Timotheo 4:1-5 inasema.. “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao ..
Shalom. Swali hili halikuanza kuwatatiza watu Leo, hata Zamani hizo kipindi Cha Yesu Kristo duniani liliulizwa pia. Tusome.. Luka 13:23 ″Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, 24 Jitahidini kuingia katika MLANGO ULIO MWEMBAMBA, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze. 25 Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi ..
Kuna maswali ambayo yamekuwa yanaulizwa kuhusu zaka, haya ni maswali 8 ambayo yanaulizwa sana 1.Nani anayetakiwa kutoa fungu la kumi? 2.Fungu la kumi linatolewa katika mtaji au faida? 3.Zawadi tunazopokea tunapaswa kuzitolea fungu la kumi? 4.Fedha ya mkopo inatakuwa kutolewa fungu la kumi? 5.Ikiwa mshahara wangu ni milioni moja lakini kuna makato ya serikali ..
Shalom. 1 Wakorintho 6:2-3 2 “Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili kukata hukumu zilizo ndogo? 3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?” Kwa sababu Yesu Kristo alitwaa jinsi ya mwili na si ya malaika Wala kiumbe chochote kingine, Watakatifu ..
Je sadaka ya kinywaji ipoje? Katika agano la kale ‘Divai’ peke yake ndiyo ilikuwa sadaka ya kimiminika iliyotolewa mbele ya Mungu.. Walawi 23:13 “Na sadaka yake ya unga itakuwa sehemu za kumi mbili za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, ni kafara iliyosongezwa kwa Bwana kwa moto kuwa harufu ya kupendeza; na SADAKA YAKE ..
Je sadaka ya moyo ipoje? Tusome, Walawi 22:21 “Na mtu awaye yote atakayemtolea BWANA dhabihu katika sadaka za amani, ili kuondoa nadhiri, au SADAKA YA MOYO WA KUPENDA, katika ng’ombe, au katika kondoo, atakuwa mkamilifu, apate kukubaliwa; pasiwe na kilema ndani yake cho chote”. Sadaka ya moyo wa kupenda ni sadaka iliyotolewa na wana ..
Shalom, karibu tujifunze neno la Mungu ambalo ndilo mwanga wa njia zetu na taa ya miguu yetu (Zaburi 119:105) Ni muhimu sana kutoa sadaka, kwa kulitambua hilo shetani anatumia njia tofauti tofauti ili kuzuia watu wasitoe sadaka maana anatambua nguvu iliyo ndani ya sadaka.. Njia mojawapo anayotumia ni kuinua watu ambao wanalitumia vibaya neno ..
Bwana wetu Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu Apewe sifa daima, karibu katika darasa la maarifa ya kiMungu tujifunze biblia..Neno la Mungu wetu ambalo ndio mwanga wa njia zetu na taa ya miguu yetu Zab 119:105.. Siku ya leo tutaenda kujifunza kwa ufupi kuhusu kutoa Zaka au fungu la kumi, Katika biblia Zaka ni sehemu ..