Shalom, karibu tutafakari Maneno ya Uzima wetu… Neema tafsiri halisi ni upendeleo usiokuwa na sababu yoyote, au kupata kukubaliwa kusikostaili, na Kiuhalisia kuna upendeleo ulio na sababu na usio na sababu, mfano hai wa upendeleo ulio na sababu ni wa sisi wanadamu,ambao tunapendana na kujaliana walio wetu, wale tunaowafahamu na wenye faida kwetu,.. Si rahisi ..
Category : Maswali ya Biblia
Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Ukisoma vyema hapo utaona maandiko yameorodhesha mambo matatu hapo!,Sasa ili tunafahamu ni yapi hebu tusome kwa kuanzia juu kidogo. Wagalatia 2:3 “Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa. 4 BALI KWA AJILI YA NDUGU ZA UONGO ..
JIBU: 2Nyakati 13:5 “Je! Haikuwapasa kujua ya kwamba Bwana, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi ufalme juu ya Israeli milele, yeye na wanawe kwa AGANO LA CHUMVI” Katika Biblia neno ‘Agano la chumvi’ tunaliona mara tatu katika vitabu tofauti tofauti 2Nyakati 13:5,Hesabu 18:19 na Walawi 2:13. Zamani na hata hivi leo katika baadhi ya jamii chumvi ..
Shalom, karibu tujifunze.. JIBU, Tusome.. Kutoka 5:14-16[14]Na wanyapara wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa Farao wamewaweka juu yao, wakapigwa, wakiambiwa, Kwa nini hamkutimiza kazi yenu jana na leo; kwa kufanya matofali kama hapo kwanza? [15]Basi wanyapara wa wana wa Israeli wakaenda, wakamlilia Farao, wakisema, Mbona umetutendea hivi, sisi watumwa wako? [16]Watumwa wako hawapewi majani, ..
JIBU, Tusome Cheo’ maana yake ni ‘kipimo’Mfano mtu mwenye kipimo kikubwa kazini au katika eneo fulani maana yake mtu huyo ana cheo kikubwa katika hiyo kazi au hilo eneo.. Wakati mwingine mtu mwenye heshima zaidi ya wengine serikalini au kwenye mamlaka fulani mtu huyo ana cheo kikubwa.. Marko 6:21[21]Hata ilipotokea siku ya kufaa, na Herode, ..
Bwana Yesu kristo Asifiwe, SWALI: Nini maana ya Kumtia Mtu au Malaika “KASIRANI” kama ilivyotumika katika (Kutoka 23:21) Kwa majibu sahihi turejee biblia katika Kutoka 23:20-22 [20] Tazama, mimi namtuma malaika aende mbele yako, ili akulinde njiani na kukupeleka mpaka mahali pale nilipokutengezea. [21] Jitunzeni mbele yake, mwisikize sauti yake; WALA MSIMTIE KASIRANI; maana, hatawasamehe ..
Shalom karibu katika kujifunza Maandiko matakatifu Wagalatia 6:1 “Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.” JIBU: Hapa Maandiko yanatupa mwongozo Namna sahihi ya kuwarejesha upya wale wapendwa Walioanguka dhambini. Biblia inatuasa tuwarudishe kwa upole ..
Shalom mwana wa Mungu,karibu tuyatafakari Maneno ya uzima… JIBU…. Embu tusome… Mhubiri 1:2-11[2]Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili. [3]Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua? [4]Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima. [5]Jua lachomoza, na jua lashuka, na kufanya haraka kwenda mahali pa maawio yake. ..
JIBU.. Maandiko hayajatupa uwazi wa moja kwa moja wa kuelewa kama waliokoka au hawakuokoka pindi walipofahamu uovu walioufanya.. Tukiliangalia hili neno Kuokoka tunakuja kuliona kwenye kipindi chetu cha Agano jipya likiwa na maana ya kukombolewa kwenye uharibifu wa hukumu ya Mungu iliyoikumbuka ulimwengu mzima kwasababu ya dhambi kupitia kifo cha Mwokozi Yesu Kristo anayetuokoa sisi ..
Jina la Bwana Yesu kristo Lihimidiwe. SWALI: JE! _Bisi ni Nini kama ilivyotumika katika kitabu Cha Ruthu 2:14 na Walawi 23:14_ JIBU: Bisi ni kama tunavyofahamu kwa mazingira yetu kwamba ni yale Mahindi yanayokaangwa na kufutuka, na kuwa na mwonekano mwingine wenye weupe weupe hatimaye kuliwa. Maarufu zaidi kwa jina la kigeni “popcorn” Lakini kwa ..