SAYUNI, katika Biblia tunangalia mwanzoni kabisa ambapo Daudi alipokwenda kuuteka Mji wa Yerusalemu na akafanikiwa .. Eneo lile alililoliteka liliitwa ngome ya SAYUNI. Tutaona katika kitabu cha (2Samweli 5:7). Sasa cha kufahamu ni kwamba katika maandiko Sayuni imetumika nakutambulika kama mji wa Daudi au Mji wa Mungu(YERUSALEMU).. Pia mahali pa mlima ambako hekalu la MUNGU ..
Category : Maswali ya Biblia
Hapo maandiko yaliposema kuwa mwenye hekima huvuta roho za watu, ilimaanisha mtu yeyote anayewavuta watu katika wokovu huyo ndiyo anafahanishwa mtu mwenye hekima, hakumaanisha hekima za dunia hii maana hekima za dunia hii zipo nyingi lakini hazina faida kubwa kama hii ya mtu kumvuta mtu katika wokovu .. Mithali 11:30 “Mazao ya mwenye haki ni ..
Tusome Mithali 30:24-28 [24]Kuna viumbe vinne duniani vilivyo vidogo; Lakini vina akili nyingi sana. [25]Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa hari. [26]Wibari ni watu dhaifu; Lakini hujifanyia nyumba katika miamba. [27]Nzige hawana mfalme; Lakini huenda wote pamoja vikosi vikosi. [28]Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme. Mjusi ..
JIBU.. Kuna utofauti kati ya haya Maneno mawili, Utasi na Utasa.. tasa ni ile hali ya mtu kutokuwa na uwezo wa kuzaa au kuzalisha,kwa mwanamke au mwanaume lakini utasi ni hali ya ulimi kuwa mzito, wengi wenye changamoto ya utasi wanakuwa hawawezi kuongea Katika ufanisi au kuyatamka Maneno vizuri, na huwa tatizo la utasi mtu ..
JIBU.. Hapana, Bwana Wetu Yesu Kristo hakuwa na mahusiano na mwanamke yeyote na wala hakuingia Katika ndoa (kuoa).. Makusudi yake makubwa ya kuzaliwa na kuja kuishi duniani ni ili ayafanye na kuyakamilisha mapenzi ya baba yake ambayo ni kumkomboa Mwanadamu aliyepotea , na Katika yote hakuwahi kufanya dhambi hata moja wala kuingia kwenye tamaa.. Yohana ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Nguo za magunia katika maandiko ni nguo zilizotengenezwa kwa manyoya ya mbuzi. Ambazo zilikuwa zikitumika kuwakilisha jambo fulani katika agano la Kale. Ni tafauti na inavyoweza kudhaniwa labda ni mifuko hii ya salfeti. Inayotumika kuhifadhia nafaka kama maharage,mahindi nk sivyo. Sasa zilikuwa zinavaliwa kuashiria jambo fulani ..
Nardo ni moja ya mmea mdogo sana unaojulikana kama”Nardostarchy” mmea wa aina hii huwa inatoa maua madogo madogo yenye rangi ya pinki Pia mmea huu huwa na vijitunda vyeusi ambavyo ndio chanzo cha mafuta ya aina ya nardo ambayo hutumika kutengeneza madawa asilia pamoja na marhamu safi yaani kwasasa huitwa Perfume (marashi/manukato)ambayo ndio huwa na ..
JIBU,Tusome… Ufunuo 1:13 “na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa Mwanadamu, amevaa vazi lililofika miguuni, na kufungwa MSHIPI WA DHAHABU MATITINI”. Tafsiri ya moja kwa moja ya Neno mshipi ni mkanda,soma Mathayo 3:4, na Matendo 21:11, na Zaburi 18:32, utaliona jambo hilo, pia mkanda huo unaweza ukawa umetengenezwa kwa namna yoyote ya malighafi, ..
Kitabu cha Mithali kimejaa mafundisho mengi ya kutuonya sisi lakini pia kutufundisha kama tukiyasoma na kuyafanyia kazi. Mstari huu umebeba siri kubwa sana ambayo sisi kama watoto wa Mungu tukiielewa itatusaidia sana katika safari yetu hii ya wokovu hapa duniani mahali palipo na machafuko ya Kila namna. Mithali 10:12 Kuchukiana huondokesha fitina; Bali kupendana husitiri ..
Uga ni sakafu ambayo hutumika kwa ajili ya kupepetea ngano, au kwa lugha nyingine kupuria ngano, na sehemu hii ilitumikia kipindi cha zamani kama tunavyojua zamani hakukuwa na mashine kama wakati huu hivyo ilikuwa baada tu ya nafaka kutolewa shambani ikiwa pamoja na majani yake moja kwa moja ilipelekwa kwenye hiyo sakafu kwa ajili ya ..