Kwanini Bwana alisema ‘Ninyi ni chumvi ..
Kwanini Bwana alisema ‘Ninyi ni chumvi ..
Neno hilo utalisoma katika mstari huu; 1Petro 2:1 “Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu”; Kughoshi ni kubadilisha umbile, au kutia dosari, aidha kwa kuongeza au kupunguza kitu Fulani ili ..
“Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe;” Tusome habari nzima; Mathayo 5:28 “lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. 29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling’oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum. 30 Na ..
Tusome; Yohana 19:32 “Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulibiwa pamoja naye. 33 Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; 34 lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. 35 Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda wake ni kweli; naye anajua ya kuwa ..
SWALI: Bwana Yesu alimaanisha nini kusema. “Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili”. Je hao kondoo wengine ni wapi? Na Zizi hilo ni lipi? Yohana 10:16 “Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja”. JIBU: Maneno ..
Sherehe yoyote ile, iwe ni ya kuzaliwa, au ya mahafali, au ya ndoa, au ya kitaifa, biblia haijakataza kwa namna yoyote ile kusheherekewa. Isipokuwa sherehe za ulafu ndio zimekatazwa… Sherehe za ulafi ni sherehe, zinazoambatana na mambo kama ulevi, anasa, mashindani, uvaaji mbovu, matusi, mauaji, n.k. Kwamfano, Herode alipokuwa anasheherekea, sikukuu yake ya kuzaliwa, alimwalika ..
Swali: Je pale Bwana Yesu aliposema, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Alimaanisha tukawahubirie injili mijusi, na swala, na ngamia? Marko 16:15 “Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa”. JIBU: Bwana hakuwa na maana, kwamba tukawahubirie Wanyama hawa injili, hapana, kwasababu mnyama hawezi kuamini ..
SWALI: Biblia inasema tusikopeshe kwa riba, je! Wanaowakopesha watu kwa riba wanafanya dhambi? JIBU: Bwana ameruhusu kuchukua riba kutoka katika mikopo tuwapayo wenzetu kama moja ya namna ya kujipatia faida, lakini ameweka mipaka yake. Siyo mipaka ya asilimia za riba za kuwatoza tuwapao mikopo, Hapana, Ila ni mipaka ya kwa nani haturuhusiwi kuchukua riba. Na ..
Uasherati ni kitendo cha kufanya zinaa nje ya ‘kifungo cha ndoa’. Hii ikilenga makundi yote ya watu, yaani kwa mtu ambaye hajaoa/hajaolewa na kufanya kitendo hicho.. Na kwa mtu ambaye tayari ameshaoa/ ameshaolewa, lakini akaenda kufanya kitendo hicho na mtu mwingine ambaye hakufunga naye ndoa. Vyote hivyo ni vitendo vya uasherati.. kwasababu vyote vipo nje ..
1 Wathesalonike 5:18 shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu. 19 Msimzimishe Roho; 20 msitweze unabii; Neno kutweza maana yake ni ‘kupuuzia au kudharau’ jambo fulani. Hivyo hapo inaposema Msitweze unabii inamaanisha kuwa tusipuuzie unabii. Kumbuka Biblia ni kitabu cha kinabii, ambacho sio tu kinaeleza habari ya mambo ..