INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA. (Ujumbe kwa wanawake wote) Mathayo 7:13 “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.” Wapo wanawake wengi ambao wanapita kwenye mlango mpana lakini wanajiona kuwa wanapita kwenye mlango mwembamba…na walio kama hao ni wabishi ..
Category : Mwanamke
Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa. Zaburi 68:11 “Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa;” Biblia inamwita mwanamke mwenye kutangaza habari njema kuwa ni “jeshi kubwa “ Nini biblia imeona kwa mwanamke hata kumfananisha na jeshi kubwa? Unajua unapozungumzia kuhusu jeshi kubwa una maana ya watu waliokuwa na mafunzo ya kujilinda na ..
HATARI YA KUVAA SURUALI KWA MWANAMKE Jina la Yesu Kristo Mfalme wa utukufu libarikiwe daima. Karibu tujifunze Biblia mwanga wa njia zetu. Mbali na kuwa vazi la suruali kwa mwanamke ni machukizo mbele za Mungu sawa sawa na kumbukumbu 22:5, Lakini leo nataka ufahamu hatari nyingine ya kuvaa suruali. Na hatari yenyewe ni kukaribisha maroho ..
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tujifunze Neno la uzima. Somo hili ni maalumu kwa wanawake wote waliomwamini Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao(Wanaoukiri uchaji wa Mungu). Hivyo ikiwa wewe ni mwanamke ni muhimu sana ukasoma na kutafakari ujumbe huu na Yesu Kristo atasema na wewe kwa namna ..
SWALI: Je! Ni kweli andiko la (Wafilipi 4:3), linatoa ruhusa kwa wanawake kuchunga na kusimamia makanisa ya Mungu Kwa sababu ya wanawake Euodia na Sintike walio..
FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE WA..
Kama wewe ni mama wa Kikristo, unaposoma maandiko kuna wanawake wengi sana ambao kwa kupitia ushuhuda wa maisha yao, kuna mengi ya kujifunza katika w..
SWALI: Ni kwanini Makuhani katika agano la kale waliamriwa kutwaa mke mwanamke ambaye ni ..
FUNDISHO MAALUM K..
SWALI: Biblia inasema katika (1 Timotheo 2:15) kuwa, Mwanamke ataokolewa kwa uzazi wake, je! Ni uzazi upi huo unaoz..