Fahamu mamlaka uliyonayo baada ya kuzaliwa mara ya pili. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe.. karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Pindi tunapozaliwa mara ya pili tunakuwa ni watu wa tofauti kabisa na kipindi tukiwa bado hatujazaliwa mara ya pili. Tunapozaliwa mara ya pili tunapokea nguvu/mamlaka ndani yetu ambayo hapo kabla hatukuwa nayo kama maandiko ..
Archives : March-2025
Je! Baada ya kuokoka kuna kuomba maombi ya kujikomboa kwenye laana na vifungo?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima! Je! Ni kweli baada ya mtu kumwamini Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wake na kusamehewa dhambi zake mtu huyo anakuwa bado kuna laana za ukoo na familia ..